Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,884
- 6,885
Mimi nimekuwa na wazo ambalo linaweza kuwasaidia vijana kama wengi tukifanya hivyo. Mfano kama vijana kadhaa wanataka kuanzisha kamradi kao ka ufundi chuma, nanunua mtambo wa weding na vifaa vyake na nawakopesha kisha kila mwezi warudishe kidogo kidogo kwa kipindi cha mwaka mmoja hadi mitatu na interest ya 8- 12%. Nitakuwa nimewasaidia sana kuliko masharti magumu ya bank. Wengi tukifanya hivyotutakuwa tumewasaidia sana vijana na papo pesa zetu kuweka kwenye mzunguko wa faida.