nadhani benki nyingi sana zimepunguza ribaNajua fika kama ulivyoeleza anayeanzisha biashara huwa amefanya tathmini ya kutosha na kujiridhisha kwamba atapata faida na biashara itasimama.
Hata hivyo si hakika kama mafanikio yatafikiwa kama business plan ilivyo, maana kuna mengi yanahitajika kuweka sawa ili biashara isimame na enzi hizi za ushindani wa kibiashara na ubora wa bidhaa na huduma. Na hadi biashara isimame kwa haraka ni miezi 6 na pengine huchukua hadi miaka miwili.
Kiwango cha riba bila uficho kiko juu mno na kabisa kwa nchi maskini kama Tanzania. Nashangaa nchi tajiri riba inazidi kuwa chini kila kuikicha wakati nchi maskini ndio wanapandisha riba kama hawatumii akili vile.
Mikopo mingi ya bongo ni kati ya mwaka mmoja na miaka mitano, lakini riba ni juu sana kana kwamba ni mkopo wa miaka zaidi ya 30. Riba ingekuwa walao 12% ingekuwa fair hata hivyo ni bado juu kutosha lakini hii mnayotaja inatisha. Utakachochuma unachumia bank tu usipokuwa mwangalifu hata mtaji utaishia kwao.
nadhani benki nyingi sana zimepunguza riba
fuatilia nmb and nbcKama benki gani mkuu?
NMB naskia riba yao ndio imeshoot mpaka karibu 40% ya principle amount kwa 5 years. Hii kanambia staff mate hapa kazini kwetufuatilia nmb and nbc
nmb naskia riba yao ndio imeshoot mpaka karibu 40% ya principle amount kwa 5 years. Hii kanambia staff mate hapa kazini kwetu
NMB naskia riba yao ndio imeshoot mpaka karibu 40% ya principle amount kwa 5 years. Hii kanambia staff mate hapa kazini kwetu
Tarehe 26/08/2015 nitawaletea riba za nmb, kwa mikopo ya biashara na ya watumishi