Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

Nmb ukichukua 6ml unalipa jumla ml. 9.4. yaan unawalipa 3.4ml kama faida yao. hii ni kwa miaka 5. Na kwa mtu mwenye kukatwa 150,000 kwa mwez. Na kama kipato chako n sh. 250,000. unaweza kukopeshwa had 5ml. Kanzia miaka 3-5. Ila wnakata 18-20%.
 
Habarini wanajamii forum
Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka. Ila kuwe na uhakika wa maji kama vile mto ama bwawa maana ninataka kufanya kilimo cha umwagiliaji. Mwenye taarifa sahihi unaweza kuwasiliana nami kwa namba 0655-535593
 
Habarini wanajamii forum
Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka. Ila kuwe na uhakika wa maji kama vile mto ama bwawa maana ninataka kufanya kilimo cha umwagiliaji. Mwenye taarifa sahihi unaweza kuwasiliana nami kwa namba 0655-535593
 
Najua fika kama ulivyoeleza anayeanzisha biashara huwa amefanya tathmini ya kutosha na kujiridhisha kwamba atapata faida na biashara itasimama.

Hata hivyo si hakika kama mafanikio yatafikiwa kama business plan ilivyo, maana kuna mengi yanahitajika kuweka sawa ili biashara isimame na enzi hizi za ushindani wa kibiashara na ubora wa bidhaa na huduma. Na hadi biashara isimame kwa haraka ni miezi 6 na pengine huchukua hadi miaka miwili.

Kiwango cha riba bila uficho kiko juu mno na kabisa kwa nchi maskini kama Tanzania. Nashangaa nchi tajiri riba inazidi kuwa chini kila kuikicha wakati nchi maskini ndio wanapandisha riba kama hawatumii akili vile.

Mikopo mingi ya bongo ni kati ya mwaka mmoja na miaka mitano, lakini riba ni juu sana kana kwamba ni mkopo wa miaka zaidi ya 30. Riba ingekuwa walao 12% ingekuwa fair hata hivyo ni bado juu kutosha lakini hii mnayotaja inatisha. Utakachochuma unachumia bank tu usipokuwa mwangalifu hata mtaji utaishia kwao.
nadhani benki nyingi sana zimepunguza riba
 
hivi ziko bank zinazooa mikopo bila kueka dhamana?
nataka nikope kwa kutumia mshahara wangu,ni benki nzuri ipi nikope?
 
TIB BANK Mbeya iko mtaa gani? Baada ya kusoma hapa ninehisi wanaweza kuwa msaada hasa kwa sisi wenye vipato vidogo na miradi midogo
 
EFTa Hawa wako ARUSHA .Mwanza na Dar hutoa mashine.Au vitendea kazi sio pesa kuanzia 20m na kuendelea
 
Back
Top Bottom