Taarifa ya Shellukindo dhidi ya Makamba

Nashangaa jinsi watoto wao pia wanavyoshindwa kusoma alama zanyakati!Watanzania wanaamka sasa!Hii nchi mnataka kupokeza nyie tu eeeee?Subirini mtaona!Hamna hata aibu?Shit!
 
Sio bure huko CCM kuna ugonjwa mbaya sana.. Kama inafikia wakati watoto wanajiona wana haki ya kuwarithi wazee wao kwenye uongozi.. basi ugonjwa umekuwa mbaya kuliko ule wa Mwakyembe..! Mungu atunusuru na janga hili..
 
Pelekeni u shellukindo wenu na u makamba huu ni uendelevu tu Wa ufisadi, si muwasiliane wenyewe kwa Simu na kumaliza tofauti zenu, tokeni hapa na mada zisizo na msingi nyamafu!

TAARIFA YA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA FAMILIA YA WILLIAM SHELUKINDO KUHUSU UBUNGE JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA

Kumezuka taarifa za uhakika kwamba tangu Mhe. Januari Makamba ashinde Ubonge katika Jimbo la Bumbuli hajawahi kukutana hata siku mmoja na mbunge wa zamani wa jimbo hilo Mzee William Shelukindo.

Katika hutuba yake alioitoa mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Januari Makamba ailisema ataendelea kumuheshimu kama Mzee Shelukindo kama kiongozi wa muda mrefu kwenye Serikali.

Mheshimiwa Makamba aliendelea kusema Mzee Shelukindo ni hazina kubwa na uzoefu na busara zake bado zinahitajika katika jimbo la Bumbuli na kuahidi kuomba ushauri wake pindi atakapohitaji kufanya hivyo, wakati akiwatumikia wananchi wa Bumbuli kama mbunge wao.

Lakini kutokutana kwa viongozi hawa kutokutana tangu mheshimiwa Makamba achukue kumesababisha minong’ono na kuleta wasi wasi mkubwa kwa baadhi ya wanasiasa na wananchi wa Bumbuli.

Kumekuwa na upotoshwaji wa habari kwamba Mzee Shelukindo anawatayarisha watoto wake ili waweze kushindana na Mhe. Makamba katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015.

Sisi kama watoto Mzee Shelukindo na tunawashutumu vikali baadhi ya wanasiasa wa Bumbuli ambao wamekuwa wakichochea maneno ili kuleta ugomvi na malumbano yasiokuwa ya msingi kati ya familia hizo mbili za Shelukindo na Makamba.

Watoto wa Mzee William Shelukindo, Bw. Samuel Shelukindo na Baraka Shelukindo wanawaasa wanasiasa wa Bumbuli kuacha uchochezi na kutotoa taarifa potufu na badala yake kumsaidia Mhe.Makamba ili kushughulikia changamoto zinazolikabili jimbo la Bumbuli.

Tunasema bado tuna mahusiano mazuri sana na Mhe. Makamba na tunamheshimu kama Mbunge wetu na hawatakubali kuona uhusiano huo unavurugwa na watu wachache wenye maslahi yao binafsi.

Sisi kama familia ya Shelukindo tunasema kwamba hakuna ndugu wala mtoto yoyote kutoka kwenye familia yetu mwenye nia ya kuingia kwenye siasa ili kupambana na Mhe. Makamba mwaka 2015.

Kama familia tupo kwenye mikakati ya kuwakutanisha Mhe. Makamba na Mzee Shelukindo ili kufuta fitna zilienezwa na kumuezesha Mhe. Makamba kuendelea kufanya kazi yake ya ubunge bila wasi wasi wowote kwa manufaa ya watu wote wa Bumbuli.

Asanteni
Bw. Samuel Shelukindo na Bw. Baraka Shelukindo
Cont:0784888765- Baraka Shelukindo
 
Ninawajua vyema sana watoto wa Shelukindo, nina uhakika hawana hamu kabisa na mambo ya siasa. Wako busy kutafuta maisha kwa njia nyingine. Baraka utoro na utundu wote ule wa Ilboru leo hii aende akagombee ubunge?, mbona tutamwita mzee Bino aje na fimbo?
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Ninawajua vyema sana watoto wa Shelukindo, nina uhakika hawana hamu kabisa na mambo ya siasa. Wako busy kutafuta maisha kwa njia nyingine. Baraka utoro na utundu wote ule wa Ilboru leo hii aende akagombee ubunge?, mbona tutamwita mzee Bino aje na fimbo?

mkuu

kumbe na wewe ulikuwa pale kwa mzee Bino, Mzulu na Machakura
 
TAARIFA YA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA FAMILIA YA WILLIAM SHELUKINDO KUHUSU UBUNGE JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA

Kumezuka taarifa za uhakika kwamba tangu Mhe. Januari Makamba ashinde Ubonge katika Jimbo la Bumbuli hajawahi kukutana hata siku mmoja na mbunge wa zamani wa jimbo hilo Mzee William Shelukindo.

Katika hutuba yake alioitoa mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Januari Makamba ailisema ataendelea kumuheshimu kama Mzee Shelukindo kama kiongozi wa muda mrefu kwenye Serikali.

Mheshimiwa Makamba aliendelea kusema Mzee Shelukindo ni hazina kubwa na uzoefu na busara zake bado zinahitajika katika jimbo la Bumbuli na kuahidi kuomba ushauri wake pindi atakapohitaji kufanya hivyo, wakati akiwatumikia wananchi wa Bumbuli kama mbunge wao.

Lakini kutokutana kwa viongozi hawa kutokutana tangu mheshimiwa Makamba achukue kumesababisha minong’ono na kuleta wasi wasi mkubwa kwa baadhi ya wanasiasa na wananchi wa Bumbuli.

Kumekuwa na upotoshwaji wa habari kwamba Mzee Shelukindo anawatayarisha watoto wake ili waweze kushindana na Mhe. Makamba katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015.

Sisi kama watoto Mzee Shelukindo na tunawashutumu vikali baadhi ya wanasiasa wa Bumbuli ambao wamekuwa wakichochea maneno ili kuleta ugomvi na malumbano yasiokuwa ya msingi kati ya familia hizo mbili za Shelukindo na Makamba.

Watoto wa Mzee William Shelukindo, Bw. Samuel Shelukindo na Baraka Shelukindo wanawaasa wanasiasa wa Bumbuli kuacha uchochezi na kutotoa taarifa potufu na badala yake kumsaidia Mhe.Makamba ili kushughulikia changamoto zinazolikabili jimbo la Bumbuli.

Tunasema bado tuna mahusiano mazuri sana na Mhe. Makamba na tunamheshimu kama Mbunge wetu na hawatakubali kuona uhusiano huo unavurugwa na watu wachache wenye maslahi yao binafsi.

Sisi kama familia ya Shelukindo tunasema kwamba hakuna ndugu wala mtoto yoyote kutoka kwenye familia yetu mwenye nia ya kuingia kwenye siasa ili kupambana na Mhe. Makamba mwaka 2015.

Kama familia tupo kwenye mikakati ya kuwakutanisha Mhe. Makamba na Mzee Shelukindo ili kufuta fitna zilienezwa na kumuezesha Mhe. Makamba kuendelea kufanya kazi yake ya ubunge bila wasi wasi wowote kwa manufaa ya watu wote wa Bumbuli.

Asanteni
Bw. Samuel Shelukindo na Bw. Baraka Shelukindo
Cont:0784888765- Baraka Shelukindo

and who said nyie familia ya shelukindo wana bumbuli bado wana wahitaji ni nani? naamini nyie hamuwajui vizuri watu wa bumbuli,yo think mzee shelukindo ana legacy yeyote bumbuli? mimi ni mkazi wa bumbuli na sioni hata sababu ya tamko hili....
ni kama vile you think mzee shelukindo,with due respect ni kama baba wa wana bumbuli? sio hivyo ndugu zangu.
wana bumbuli wana bahati mbaya so far kwa kuwa bado mpaka sasa sina uhakika kama wameshapata mbunge maana hata walie nae bado sijaona kilichofanyika....
kwa hiyo sio shelukindo na wala sio makamba ambaye anaweza kusema yuko mioyoni mwa wana bumbuli...
ni vile tu bado mwamko wa wana bumbuli bado kidogo otherwise wakitokea wapinzani wakawaelewesha jimbo laweza hamia upinzani...
as for now mheshimiwa makamba relax and do your home works properly,,, you still have the chance to help wana bumbuli na kukumbukwa even beyond your tennar...
there is no threat whatsoever from shelukindo's family...
watu walikuwa na imani na shelukindo ila aliwatosa....
 
TAARIFA YA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA FAMILIA YA WILLIAM SHELUKINDO KUHUSU UBUNGE JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA

Kumezuka taarifa za uhakika kwamba tangu Mhe. Januari Makamba ashinde Ubonge katika Jimbo la Bumbuli hajawahi kukutana hata siku mmoja na mbunge wa zamani wa jimbo hilo Mzee William Shelukindo.

Katika hutuba yake alioitoa mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Januari Makamba ailisema ataendelea kumuheshimu kama Mzee Shelukindo kama kiongozi wa muda mrefu kwenye Serikali.

Mheshimiwa Makamba aliendelea kusema Mzee Shelukindo ni hazina kubwa na uzoefu na busara zake bado zinahitajika katika jimbo la Bumbuli na kuahidi kuomba ushauri wake pindi atakapohitaji kufanya hivyo, wakati akiwatumikia wananchi wa Bumbuli kama mbunge wao.

Lakini kutokutana kwa viongozi hawa kutokutana tangu mheshimiwa Makamba achukue kumesababisha minong’ono na kuleta wasi wasi mkubwa kwa baadhi ya wanasiasa na wananchi wa Bumbuli.

Kumekuwa na upotoshwaji wa habari kwamba Mzee Shelukindo anawatayarisha watoto wake ili waweze kushindana na Mhe. Makamba katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015.

Sisi kama watoto Mzee Shelukindo na tunawashutumu vikali baadhi ya wanasiasa wa Bumbuli ambao wamekuwa wakichochea maneno ili kuleta ugomvi na malumbano yasiokuwa ya msingi kati ya familia hizo mbili za Shelukindo na Makamba.

Watoto wa Mzee William Shelukindo, Bw. Samuel Shelukindo na Baraka Shelukindo wanawaasa wanasiasa wa Bumbuli kuacha uchochezi na kutotoa taarifa potufu na badala yake kumsaidia Mhe.Makamba ili kushughulikia changamoto zinazolikabili jimbo la Bumbuli.

Tunasema bado tuna mahusiano mazuri sana na Mhe. Makamba na tunamheshimu kama Mbunge wetu na hawatakubali kuona uhusiano huo unavurugwa na watu wachache wenye maslahi yao binafsi.

Sisi kama familia ya Shelukindo tunasema kwamba hakuna ndugu wala mtoto yoyote kutoka kwenye familia yetu mwenye nia ya kuingia kwenye siasa ili kupambana na Mhe. Makamba mwaka 2015.

Kama familia tupo kwenye mikakati ya kuwakutanisha Mhe. Makamba na Mzee Shelukindo ili kufuta fitna zilienezwa na kumuezesha Mhe. Makamba kuendelea kufanya kazi yake ya ubunge bila wasi wasi wowote kwa manufaa ya watu wote wa Bumbuli.

Asanteni
Bw. Samuel Shelukindo na Bw. Baraka Shelukindo
Cont:0784888765- Baraka Shelukindo

hivi humu kwenye red sijaelewa?????
 
Upuuzi tu. Wanataka kutuonyesha kuwa ubunge wa Bumbuli ni wa akina shelukindo na makamba! Ningekuwa mkaazi wa Bumbuli ningemobilize wananchi tuwateme wote kwenye uchaguzi ujao.
 
Alitumwa na Kikwete kugombea Ubunge jimboni na kumuangusha Shelukindo kwa sababu za Kisiasa; Chuki kati ya Kikwete na Shelukindo juu ya Ufisadi

Kikwete anajua hayo fika
 
TAARIFA YA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA FAMILIA YA WILLIAM SHELUKINDO KUHUSU UBUNGE JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA

Kumezuka taarifa za uhakika kwamba tangu Mhe. Januari Makamba ashinde Ubonge katika Jimbo la Bumbuli hajawahi kukutana hata siku mmoja na mbunge wa zamani wa jimbo hilo Mzee William Shelukindo.

Katika hutuba yake alioitoa mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Januari Makamba ailisema ataendelea kumuheshimu kama Mzee Shelukindo kama kiongozi wa muda mrefu kwenye Serikali.

Mheshimiwa Makamba aliendelea kusema Mzee Shelukindo ni hazina kubwa na uzoefu na busara zake bado zinahitajika katika jimbo la Bumbuli na kuahidi kuomba ushauri wake pindi atakapohitaji kufanya hivyo, wakati akiwatumikia wananchi wa Bumbuli kama mbunge wao.

Lakini kutokutana kwa viongozi hawa kutokutana tangu mheshimiwa Makamba achukue kumesababisha minong’ono na kuleta wasi wasi mkubwa kwa baadhi ya wanasiasa na wananchi wa Bumbuli.

Kumekuwa na upotoshwaji wa habari kwamba Mzee Shelukindo anawatayarisha watoto wake ili waweze kushindana na Mhe. Makamba katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015.

Sisi kama watoto Mzee Shelukindo na tunawashutumu vikali baadhi ya wanasiasa wa Bumbuli ambao wamekuwa wakichochea maneno ili kuleta ugomvi na malumbano yasiokuwa ya msingi kati ya familia hizo mbili za Shelukindo na Makamba.

Watoto wa Mzee William Shelukindo, Bw. Samuel Shelukindo na Baraka Shelukindo wanawaasa wanasiasa wa Bumbuli kuacha uchochezi na kutotoa taarifa potufu na badala yake kumsaidia Mhe.Makamba ili kushughulikia changamoto zinazolikabili jimbo la Bumbuli.

Tunasema bado tuna mahusiano mazuri sana na Mhe. Makamba na tunamheshimu kama Mbunge wetu na hawatakubali kuona uhusiano huo unavurugwa na watu wachache wenye maslahi yao binafsi.

Sisi kama familia ya Shelukindo tunasema kwamba hakuna ndugu wala mtoto yoyote kutoka kwenye familia yetu mwenye nia ya kuingia kwenye siasa ili kupambana na Mhe. Makamba mwaka 2015.

Kama familia tupo kwenye mikakati ya kuwakutanisha Mhe. Makamba na Mzee Shelukindo ili kufuta fitna zilienezwa na kumuezesha Mhe. Makamba kuendelea kufanya kazi yake ya ubunge bila wasi wasi wowote kwa manufaa ya watu wote wa Bumbuli.

Asanteni
Bw. Samuel Shelukindo na Bw. Baraka Shelukindo
Cont:0784888765- Baraka Shelukindo

Nini kimekanushwa kwenye hii statement? Kwamba Mh. Makamba na Shelukindo wamekuwa wakikutana tofauti na kinachoenezwa kwamba hawajawahi kukutana? Kama wamekuwa wakikutana mbona kuwe na jitihada za familia kuwakutanisha?
Siasa bwana kaaazi kweli kweli.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom