Taarifa ya Shellukindo dhidi ya Makamba

TIQO

JF-Expert Member
Jan 8, 2011
13,787
2,078
TAARIFA YA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA FAMILIA YA WILLIAM SHELUKINDO KUHUSU UBUNGE JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA

Kumezuka taarifa za uhakika kwamba tangu Mhe. Januari Makamba ashinde Ubonge katika Jimbo la Bumbuli hajawahi kukutana hata siku mmoja na mbunge wa zamani wa jimbo hilo Mzee William Shelukindo.

Katika hutuba yake alioitoa mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kura za maoni katika Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Januari Makamba ailisema ataendelea kumuheshimu kama Mzee Shelukindo kama kiongozi wa muda mrefu kwenye Serikali.

Mheshimiwa Makamba aliendelea kusema Mzee Shelukindo ni hazina kubwa na uzoefu na busara zake bado zinahitajika katika jimbo la Bumbuli na kuahidi kuomba ushauri wake pindi atakapohitaji kufanya hivyo, wakati akiwatumikia wananchi wa Bumbuli kama mbunge wao.

Lakini kutokutana kwa viongozi hawa kutokutana tangu mheshimiwa Makamba achukue kumesababisha minong'ono na kuleta wasi wasi mkubwa kwa baadhi ya wanasiasa na wananchi wa Bumbuli.

Kumekuwa na upotoshwaji wa habari kwamba Mzee Shelukindo anawatayarisha watoto wake ili waweze kushindana na Mhe. Makamba katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015.

Sisi kama watoto Mzee Shelukindo na tunawashutumu vikali baadhi ya wanasiasa wa Bumbuli ambao wamekuwa wakichochea maneno ili kuleta ugomvi na malumbano yasiokuwa ya msingi kati ya familia hizo mbili za Shelukindo na Makamba.

Watoto wa Mzee William Shelukindo, Bw. Samuel Shelukindo na Baraka Shelukindo wanawaasa wanasiasa wa Bumbuli kuacha uchochezi na kutotoa taarifa potufu na badala yake kumsaidia Mhe.Makamba ili kushughulikia changamoto zinazolikabili jimbo la Bumbuli.

Tunasema bado tuna mahusiano mazuri sana na Mhe. Makamba na tunamheshimu kama Mbunge wetu na hawatakubali kuona uhusiano huo unavurugwa na watu wachache wenye maslahi yao binafsi.

Sisi kama familia ya Shelukindo tunasema kwamba hakuna ndugu wala mtoto yoyote kutoka kwenye familia yetu mwenye nia ya kuingia kwenye siasa ili kupambana na Mhe. Makamba mwaka 2015.

Kama familia tupo kwenye mikakati ya kuwakutanisha Mhe. Makamba na Mzee Shelukindo ili kufuta fitna zilienezwa na kumuezesha Mhe. Makamba kuendelea kufanya kazi yake ya ubunge bila wasi wasi wowote kwa manufaa ya watu wote wa Bumbuli.

Asanteni
Bw. Samuel Shelukindo na Bw. Baraka Shelukindo
Cont:0784888765- Baraka Shelukindo
 
This must be a hoax!

It is too simple a statement.

There are so many shellukindos......

But let me call these numbers
 
Kuna tetesi kuwa Makamba hatagombea tena ubunge baada ya kuona majukumu ni mengi na kuwa busy kupindukia. Sina uhakika, inawezekana watoto hao wanajua fika kuwa January atawaachia ili mmoja wao agombee na kuchukua jimbo hivyo saizi wanajikomba.
 
Nyie Watoto wa Shullukindo ifike hatua muwe wakweli maana kwa jinsi Mtoto wa Makamba (Januari Makamba) alivyomshusha kwenye kiti cha Ubunge Baba yenu wakati alikuwa bado anataka haikuwa fair kabisa. Kati ya vitu ambavyo Mzee William Shullukindo anakinyongo, kinamuuma na kumsononesha ni hiki kitendo ambacho kwa namna nyingine tunaweza kusema ni Upinduaji wa familia moja dhidi ya nyingine katika ufalme.

Mi nawashauri Samweli na Baraka Shullukindo mjipange vizuri 2015 kurejesha heshima ya Baba na familia yenu.
 
Ubunge mtamu thubutu Makamba aliachie jimbo wkt anajitengenezea CV za uwaziri wa nishati na madini na shemeji ake wa mgodini kisha ombwa tafu tayari asaidie $
 
Ivi inakuaje eti ubunge kiwe ni kitu cha kuwachiana katika familia? Hii dhana inatoka wapi, wengine wamediriki kusema na sioi nae apewe ubunge eti kama kifuta machozi cha babayake, na makongolo nyerere tungempa urais kama kifuta machozi cha babake. Nyie akina sherukindo ubunge siyo wa familia .
 
Kuna tetesi kuwa Makamba hatagombea tena ubunge baada ya kuona majukumu ni mengi na kuwa busy kupindukia. Sina uhakika, inawezekana watoto hao wanajua fika kuwa January atawaachia ili mmoja wao agombee na kuchukua jimbo hivyo saizi wanajikomba.

Huo u busy na majukumu si kwa ajili ya Ubunge?
Au ana kazi zake binafsi?
 
Nyie Watoto wa Shullukindo ifike hatua muwe wakweli maana kwa jinsi Mtoto wa Makamba (Januari Makamba) alivyomshusha kwenye kiti cha Ubunge Baba yenu wakati alikuwa bado anataka haikuwa fair kabisa. Kati ya vitu ambavyo Mzee William Shullukindo anakinyongo, kinamuuma na kumsononesha ni hiki kitendo ambacho kwa namna nyingine tunaweza kusema ni Upinduaji wa familia moja dhidi ya nyingine katika ufalme.

Mi nawashauri Samweli na Baraka Shullukindo mjipange vizuri 2015 kurejesha heshima ya Baba na familia yenu.

Hawa sio mamluki kweli?
Hizo simu walizotoa hazipatikani....
 
Tafuteni kanga za kuandikia iyo mipasho yenu,hiyo mirathi ya ubunge ina umuhimu gani kwa Taifa,nyie kama vipi fungueni shauri la kuteua msimamizi ya mirathi ya ubunge wa wazee wenu wakati mkisubiri hasira za walima miraba,wavuvi na wajasiriamali wanaodhulumiwa kila kukicha,kama ugomvi wenu ungekuwa chanzo ni ukosefu wa huduma za kijamii ningewaunga mkono lakini kumbe mnataka suluhu ili muendelee ku enjoy vile vitenda vya wizarani!!!
 
Mimi nashangaaa hiyo suluhu yenu ina maslahi gani kwa wana bumbuli walio maskini na wenye huduma mbovu. Au ni njia moja ya kuendekeza ulaji wenu na kuendeleza ubunge wa kurithishana
Fanyeni kazi muwaletee maedeleo wana Bumbuli na si hizi bla bla zenu hapa
 
ccm kiboko!ubunge mmefanya ni wa ukoo au familia!eti sioi apewe ubunge kufuta majonzi ya kufiwa na babake!damn shit
 
If you can't beat the Makamba's join them you LOSERS Shelukindo...

Bumbuli yote ni koo hizi mbili tu zinaweza kuongoza wasambaa wengine hawawezi??
 
eti sisi kama watoto tupo kwenye harakati za kuwakutanisha mzee wetu na makamba ili kufuta fitina,ngonjera imetungwa na kumalizia vibaya kwa kuonesha huo mgogoro...pia sioni sababu ya hawa watoto kujishuku eti makamba hawana tatizo naye,watoto acheni kujikomba!
 
Changa la macho.....! Hii ni janja ya January Marope. Dogo noma kwa majungu, tangu foreign hadi Ikulu mambo yake ni haya haya kuharibia wengine...Nimetoka kuongea na Baraka, hawajui chochote kuhusiana na hii.

Anajiweka victim ili haurumiwe? Amefanya kosa kuileta hapa. angeipeleka kwa PR wake U-turn Blog
Nyambaf
 
Hakuna wagombea wengine bumbuli zaidi ya hizi koo mbili
 
Back
Top Bottom