I smell a rat, howcome serikali yenyewe ndio imeunda tume, alafu serikali hiyohiyo imeamua kupeleka kesi mahakamani kabla tume haijatoa report yake, something is fishing my fellow tanzanians!
Kwenye makosa ya jinai, kuna kitu kinaitwa conspiracy, yaani watu walioshirikiana, kutenda jinai, kwenye picha, wanaonekana polisi 7, wakimsulubu Mwangosi, na taarifa za mashuhuda, RPC Kamuhanga alikuwepo eneo la tukio, akitoa maelekezo ya namna ya utekelezaji wa operesheni hiyo, sasa iweje aletwe polisi mmoja mahakamani?! kwa nini akina Kamuhanga hawajuburuzwa mahakamani?? Hapa ndiyo unaweza kupata jibu, kwa nini mtuhumiwa kaletwa mahakamani na gari aina ya shangingi, na hao askari wamezuia kabisa kupata picha ya mtuhumiwa? Mkakati ni kutaka baada ya fulani waipotezee hiyo kesi, HUU NI UPEPO TU UTAPITA!!!
Mkuu Mwita
Afadhali yetu CCM makengeza angalau tuna uwezo wa kuona kwa macho mawili tunawashangaa sana nyie chongo wenye jicho moja na vipofu mnapotaka kutuongoza njia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.