....hivi anajua kweli hadhi ya uwaziri au.?
hiyo attachement ya nchimbi kwa vyombo vya habari.
Hii haivurugi uchunguzi wa kamati aliyoteua?
Anasemaje kwani kwenye hii taarifa?
Uchunguzi wa kamati hauna maana tena kwasababu kesi imeshafikishwa mahakamani. Kwahiyo kulizungumzia swala hilo kwa namna yoyote ikiwa ni pamoja na kamati kutoa majibu yake na kuyatangaza hadharan kabla ya hukumu ya mahakama kutolewa itakuwa ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Serikali ni kama imeshalizika jambo hilo tayari. Inaniuma sana!
Utumbo mtupu!!!!!....
unajua maana ya kuwajibika wewe gamba?Kazi nzuri Waziri Nchimbi kwa kuwa muwazi na kuwajibika kwa kasi
loooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!safi nchimbi waeleze hawa wasio na hiyana hawajui zuri hata kushukuru kwa hatua iliyofikiwa hongera sana kazi nzuri big upppppppppppp