Baada ya presha ya kutakiwa kujiuzulu IGP na Nchimbi sasa wametafuta njia ya mkato.Hawa wapuuzi kwa kweli; wanataka tuamini kuwa tatizo la mauaji ya Mwangosi lilihusu askari mmoja tu.
Hawa wapuuzi kwa kweli; wanataka tuamini kuwa tatizo la mauaji ya Mwangosi lilihusu askari mmoja tu.
Kwasababu naye atakuwa salama na kazi yake. Funga watu midomo!Kinachotafutwa ni issue iwe mahakamani tu ili isihojike/kujadilika tena. Utaona hata kwenye Press Release ya Nchimbi amesisitiza "Sasa tuuachie mkondo wa sheria ufanye kazi yake'.
Hiyo attachement ya NCHIMBI kwa vyombo vya habari.
Hii haivurugi uchunguzi wa kamati aliyoteua?