Pole sana X-pin kwa msiba uliokupata. Huyu mzee mbona mnaficha jina lake ? Juzi alipofariki mzee Bruno Mpangala , taarifa iliandikwa na watu wakajumuika kwenda nyumbani kwake msibani huko Kinyelezi; sasa huyu mzee mbona mnaficha jina lake hamtaki watu waende kwenye msiba wake sharti kwa kutuma PM?
Pole sana Kiongozi. Mungu awatie Nguvu woote, Wote njia yetu ni moja na kila mtu ana siku yake, Tunaposikitika kwa mwenzetu na sisi tunatafakari njia zetu.
Fundi Mchundo mwenzake, nafikisha pole zangu nyingi sana kwako kwa kuondokewa na baba mlezi. Kwa maisha ya Tanzania, wengi sana tuliingizwa Dar na Shangazi, Wajomba, Kaka, Dada, baba na mama wadogo nk nk. Upande wangu mtu aliyenileta Dar nilishampoteza siku nyingi na ninakuwa mmoja ya watu ambao wanaelewa hasa hali uliyopo.
Mungu ampe mapumziko mema milele na nyie wafiwa awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. Bwana katoa, bwana kachukua, jina lake litimizwe, Amen.
Kaka xpin
polen sana na familia kwa jumla ;ni huzuni kubwa kufiwa na mtu aliekujali aliekutunza
anaejuaa thaman yako ukiacha mod...mungu akupe moyo wa uvumilivu nr tuko pamoja
tuzidi kumwombea..bwana ametoa bwana ametwaa..
Mungu amrehemu
tuko pamoja kaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.