Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
kwake x-pin ni kama mzazi wake kwasababu ndiye aliyemlea hapa dar.i mean,ndugu x-pin ameanza maisha na amezikamata channel akiwa na huyo mzee.Ndugu x-pin amepata jiko takribani miaka kumi na moja iliyopita kwa support kubwa ya huyu mzee
Ndugu zangu wana jf mlio na mapenzi mema,tusaidiane kumuombea mzee wetu marehemu apewe raha ya milele na kuangaziwa mwanga wa milele....
''RAHA YA MILELE APEWE MZEE WETU,NA MWANGA WA MILELE UMUANGAZIE,APUMZIKE KWA AMANI -AMINA''
msiba huu upo maeneo ya tabata-bima.
kwa sasa hatujajua ratiba zinakwenda vipi,lakini lolote litakalokuwa linaendelea tutafahamishana tu
kwa anayeguswa,naomba awasiliane na mimi kwa pi-emu,au anipigie ili tuongozane kwenda msibani.
ratiba yangu ni kwamba saa tano unusu au saa sita mimi nitakuwa barabarani kuelekea msibani
POLE SANA KAKA YANGU X-PIN
MUNGU AKUPE NGUVU YA KUKABILIANA NA WAKATI HUU MGUMU ULIO NAO
POLE SANA BROTHER!
meet you there
Ndugu zangu wana jf mlio na mapenzi mema,tusaidiane kumuombea mzee wetu marehemu apewe raha ya milele na kuangaziwa mwanga wa milele....
''RAHA YA MILELE APEWE MZEE WETU,NA MWANGA WA MILELE UMUANGAZIE,APUMZIKE KWA AMANI -AMINA''
msiba huu upo maeneo ya tabata-bima.
kwa sasa hatujajua ratiba zinakwenda vipi,lakini lolote litakalokuwa linaendelea tutafahamishana tu
kwa anayeguswa,naomba awasiliane na mimi kwa pi-emu,au anipigie ili tuongozane kwenda msibani.
ratiba yangu ni kwamba saa tano unusu au saa sita mimi nitakuwa barabarani kuelekea msibani
POLE SANA KAKA YANGU X-PIN
MUNGU AKUPE NGUVU YA KUKABILIANA NA WAKATI HUU MGUMU ULIO NAO
POLE SANA BROTHER!
meet you there