Taarifa ya mkutano wa chadema reading, vua gamba vaa gwanda reading.!

Chilisosi

JF-Expert Member
Oct 19, 2008
3,051
747
Mkutano Wa CHADEMA Reading


M4C
VUA GAMBA VAA GWANDA READING

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO TAWI LA LONDON
TUNAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAENEO YA READING NA KARIBU YAKE (Slough nk) KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO MKUBWA UTAKAOFANYIKA TAREHE 26/08/2012
MUDA NA SEHEMU YA MKUTANO MTAJULISHWA BAADAE
KATIKA MKUTANO HUO MAMBO MBALI MBALI YATAFANYIKA IKIWA NI PAMOJA NA HAYA YAFUATAYO;
USAJILI WA WANACHAMA WAPYA
KUCHAGUA WAWAKILISHI WA MUDA KUTOKA READING
KUANZISHA MFUKO WA KUFA NA KUZIKANA KWA MANUFAA YA WATANZANIA WOTE (mpaka sasa mtanzania akifariki UK hakuna taaluma au ofisi yoyote inayotoa msaada. tutaanzisha mfuko utakaotumika kusaidia kusafirisha marehemu pamoja na mfiwa nyumbani)
WANACHAMA WA CCM WALIO NA UCHUNGU NA NCHI YAO WATAVUA GAMBA NA KUVAA MAGWANDA SIKU HIYO
SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM.
CCM NI KAMA KUNGUNI , NA DAWA YA KUNGUNI NI CHADEMA!

NI WAKATI WA KUSIMAMA NA KUSEMA TUMECHOKA !
KARIBU USHIRIKI KWENYE TUKIO HILI LA KIHISTORIA
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA HAWA WAFUATAO
MWENYEKITI ;- Chris Lukosi 07903828119
KATIBU MWENEZI ;- Chris Chagula 07405889880
Asanteni sana
PIPOOOOOOOOOOOOZ!
 
safi saana maana ubalozi uko kwa viongozi wanapokuja kutoka tanzania na kwa kuiwakilisha ccm ya mafisadi balozi hauko hapa kwa ajili ya wanaccm peke yao pesa yetu ya walipa kodi ndio mshahara wako achana na siasa za kizamani tunaamini una uelewa mzuri usiwasikilize wadaku wa mambo binafsi wafusi wa balozi aliyekutangulia mwanaidi ambao wanaongozwa na abuu faraji matapeli wa kuhujumu ubalozi kwa kisingizio cha usalama wa taifa
 
Mkutano Wa CHADEMA Reading


M4C
VUA GAMBA VAA GWANDA READING

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO TAWI LA LONDON
TUNAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAENEO YA READING NA KARIBU YAKE (Slough nk) KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO MKUBWA UTAKAOFANYIKA TAREHE 26/08/2012
MUDA NA SEHEMU YA MKUTANO MTAJULISHWA BAADAE
KATIKA MKUTANO HUO MAMBO MBALI MBALI YATAFANYIKA IKIWA NI PAMOJA NA HAYA YAFUATAYO;
USAJILI WA WANACHAMA WAPYA
KUCHAGUA WAWAKILISHI WA MUDA KUTOKA READING
KUANZISHA MFUKO WA KUFA NA KUZIKANA KWA MANUFAA YA WATANZANIA WOTE (mpaka sasa mtanzania akifariki UK hakuna taaluma au ofisi yoyote inayotoa msaada. tutaanzisha mfuko utakaotumika kusaidia kusafirisha marehemu pamoja na mfiwa nyumbani)
WANACHAMA WA CCM WALIO NA UCHUNGU NA NCHI YAO WATAVUA GAMBA NA KUVAA MAGWANDA SIKU HIYO
SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM.
CCM NI KAMA KUNGUNI , NA DAWA YA KUNGUNI NI CHADEMA!

NI WAKATI WA KUSIMAMA NA KUSEMA TUMECHOKA !
KARIBU USHIRIKI KWENYE TUKIO HILI LA KIHISTORIA
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA HAWA WAFUATAO
MWENYEKITI ;- Chris Lukosi 07903828119
KATIBU MWENEZI ;- Chris Chagula 07405889880
Asanteni sana
PIPOOOOOOOOOOOOZ!

safi sana Chadema London, speed ile ile kama ya Usain Bolt hakuna kupumzika ni mwendo wa kupaa Tu!
 
Mkutano Wa CHADEMA Reading


M4C
VUA GAMBA VAA GWANDA READING

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO TAWI LA LONDON
TUNAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAENEO YA READING NA KARIBU YAKE (Slough nk) KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO MKUBWA UTAKAOFANYIKA TAREHE 26/08/2012
MUDA NA SEHEMU YA MKUTANO MTAJULISHWA BAADAE
KATIKA MKUTANO HUO MAMBO MBALI MBALI YATAFANYIKA IKIWA NI PAMOJA NA HAYA YAFUATAYO;
USAJILI WA WANACHAMA WAPYA
KUCHAGUA WAWAKILISHI WA MUDA KUTOKA READING
KUANZISHA MFUKO WA KUFA NA KUZIKANA KWA MANUFAA YA WATANZANIA WOTE (mpaka sasa mtanzania akifariki UK hakuna taaluma au ofisi yoyote inayotoa msaada. tutaanzisha mfuko utakaotumika kusaidia kusafirisha marehemu pamoja na mfiwa nyumbani)
WANACHAMA WA CCM WALIO NA UCHUNGU NA NCHI YAO WATAVUA GAMBA NA KUVAA MAGWANDA SIKU HIYO
SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM.
CCM NI KAMA KUNGUNI , NA DAWA YA KUNGUNI NI CHADEMA!

NI WAKATI WA KUSIMAMA NA KUSEMA TUMECHOKA !
KARIBU USHIRIKI KWENYE TUKIO HILI LA KIHISTORIA
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA HAWA WAFUATAO
MWENYEKITI ;- Chris Lukosi 07903828119
KATIBU MWENEZI ;- Chris Chagula 07405889880
Asanteni sana
PIPOOOOOOOOOOOOZ!

Safi sana Chadema London, Speed ile ile kama ya Usain Bolt hakuna kupumzika ni kupaa tu!
 
safi saana maana ubalozi uko kwa viongozi wanapokuja kutoka tanzania na kwa kuiwakilisha ccm ya mafisadi balozi hauko hapa kwa ajili ya wanaccm peke yao pesa yetu ya walipa kodi ndio mshahara wako achana na siasa za kizamani tunaamini una uelewa mzuri usiwasikilize wadaku wa mambo binafsi wafusi wa balozi aliyekutangulia mwanaidi ambao wanaongozwa na abuu faraji matapeli wa kuhujumu ubalozi kwa kisingizio cha usalama wa taifa
Mie huwa najiuliza hivi ubalozi kazi yao ni nini? hawajali watanzania, hata miaka 50 ya uhuru walishindwa kufanya sherehe?
Wao huwa bize akija mkulu tu basi baada ya hapo nadhani huwa wanacheza draft tu pale
 
kila la jambo linawakati wake ni wakati wawatanzania kubadilika na kuonyesha kwa matendo kweli kwamba wanataka changes 2015.kila la kheri watanzania wenzetu mlioko UK
 
Na huko reading ndio tunakwenda kuchukua ccm wote ili akija huyo Kinana akute hamna mwanachama aliyebaki

Chilisosi mdogo wangu nitumie GBP kidogo nami nije niungane nanyi. Chapa kazi mpaka CCM kiwe chipsi nawe ukimiminie "chilisosi".
 
Well done, move on guys, we are supporting you, tujipange nje ndani M4C mpaka KIELEWEKE
 
Mikutano ya m4c hufanyika baa ciwaelewi hao wanaovua gamba wanavuaje huku wakiwa bwii no wonder tawi lao la uk ni la wauza unga
 
Mkutano Wa CHADEMA Reading


M4C
VUA GAMBA VAA GWANDA READING

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO TAWI LA LONDON
TUNAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAENEO YA READING NA KARIBU YAKE (Slough nk) KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO MKUBWA UTAKAOFANYIKA TAREHE 26/08/2012
MUDA NA SEHEMU YA MKUTANO MTAJULISHWA BAADAE
KATIKA MKUTANO HUO MAMBO MBALI MBALI YATAFANYIKA IKIWA NI PAMOJA NA HAYA YAFUATAYO;
USAJILI WA WANACHAMA WAPYA
KUCHAGUA WAWAKILISHI WA MUDA KUTOKA READING
KUANZISHA MFUKO WA KUFA NA KUZIKANA KWA MANUFAA YA WATANZANIA WOTE (mpaka sasa mtanzania akifariki UK hakuna taaluma au ofisi yoyote inayotoa msaada. tutaanzisha mfuko utakaotumika kusaidia kusafirisha marehemu pamoja na mfiwa nyumbani)
WANACHAMA WA CCM WALIO NA UCHUNGU NA NCHI YAO WATAVUA GAMBA NA KUVAA MAGWANDA SIKU HIYO
SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM.
CCM NI KAMA KUNGUNI , NA DAWA YA KUNGUNI NI CHADEMA!

NI WAKATI WA KUSIMAMA NA KUSEMA TUMECHOKA !
KARIBU USHIRIKI KWENYE TUKIO HILI LA KIHISTORIA
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA HAWA WAFUATAO
MWENYEKITI ;- Chris Lukosi 07903828119
KATIBU MWENEZI ;- Chris Chagula 07405889880
Asanteni sana
PIPOOOOOOOOOOOOZ!

Mkuu umesoma ramani vizuri sana yaan ukija Bongo tu hawa Vilaza lazima wakupigie debe UBUNGE huu hapa sababu WAJINGA NDIO WALI WAO
 
Na huko reading ndio tunakwenda kuchukua ccm wote ili akija huyo Kinana akute hamna mwanachama aliyebaki

Unaota huku unatembea Mangi ile aibu ya juzi sasa pale Reading unaipata mara tatu hapa sio Rombo Mashati Mangi Chilisosi.....pale simliwapata wale kumi ambao wote ni kutoka kulee kwetu kaskazin sasa Reading hata hao WAKASKAZIN huwapati peleka njaa yako huku sio kama kule

Na tafadhali uweke na picha ili u share hiyo aibu na wenzako wa hapa JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom