"""ni heri kufa masikini nikiwa nimesimamia UKWELI, kuliko kuishi tajiri niliyetawaliwa na UBINAFSI, woga, hofu na ubatili"""
Nyie nyie jamani, wanasiasa saa nyingine wamwogope Mungu...
anawadanganya akina BEN ,yereko wakati JUZI JUZI KIPINDI CHA UCHAGUZI AMEPOKEA 3M usd kutoka kwa LOWASA na kuzikimbiza DUBAY si achukue tu hapo ka 1bl alipa mambo yaishe