NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
ooohh pole js... inshallah allah ampe kauli thabit marhum...(ina lillah waina ilayh raj uun...)
Mkuu Teamo,
Inavyoonekana watu wengi hapa hatukuwa na tahaarifa hizo za msiba,n huyu akiwa kama mwenzetu na ndugu yetu wa karibu naamini anasoma haya maelezo hapa,je inawezekana tujipange ili walau na ss tujumuike ktk kumfariji mwenzetu kwa ppamoja?Kama ndio basi tupange siku maalum ili tuweze kufanya kama mila na tamaduni zetu,ni mtazamo tu lkn.
Regards
Pearl
Inaonekana wengi wetu hatukuwa na taarifa hizi....
Pole sana JS, nina imani Mungu amekupigania katika kipindi kigumu na ataendelea kukupigania
Raha ya Milele umpe baba yetu ee bwana....
Naunga mkono hoja!
Hii taarifa imekuwa kama ya dharura. Naona ni vema tungepanga siku ambayo watu wana majukumu machache, kama wikiendi hivi ili kama kawaida ya misiba ya watu wa kule migombani, kapombe kaweze kuhusika pia.
Kwa mara nyingine: RIP Baba yetu!
Umeanza wewe!! Tupo kwenye kuhani msiba hapa!!Babu shkang
Naunga mkono hoja!
Hii taarifa imekuwa kama ya dharura. Naona ni vema tungepanga siku ambayo watu wana majukumu machache, kama wikiendi hivi ili kama kawaida ya misiba ya watu wa kule migombani, kapombe kaweze kuhusika pia.
Kwa mara nyingine: RIP Baba yetu!
Babu shkang
Hivi kwenye misiba wakubwa hawasalimiwi? Naomba msamahaUmeanza wewe!! Tupo kwenye kuhani msiba hapa!!
Shikamoo sio nidhamu babu?Marahaba sana.. Leo niko kinidhamu zaidi.......
aisee maty hapo juu tafadhali zingatia protokali za kuhani msiba....!usijisahau ukadhani tupo fairway
nimekuelewa teamo na sina shaka mtatuwakilisha vyema... Lile lilikua ombi tu lakini kwa ujumla wake ni vizuri muendelee kama tayari ameshapewa taarifahoja yenu ya weekend haitawezekana kwakuwa sisi tumeshamalert js aje leo,na pia tunawashauri asprin,pearl na mtm mkubaliane na ''gharama ya demokrasia'' kwamba wengi wape.wengi wenu wamekubaliana tukutane leo,lakini pia kutakuwa na nafasi zenu (kama ilivyokuwa memkwa) ya kumuona js kwa muda mwingine....afterall ninyi wote js ni mtu wenu wa karibu
samahani kwa kuwakwaza kidogo lakini ndio gharama ya demokrasia hiyo.....!
nimekuelewa teamo na sina shaka mtatuwakilisha vyema... Lile lilikua ombi tu lakini kwa ujumla wake ni vizuri muendelee kama tayari ameshapewa taarifa
hoja yenu ya weekend haitawezekana kwakuwa sisi tumeshamalert js aje leo,na pia tunawashauri asprin,pearl na mtm mkubaliane na ''GHARAMA YA demokrasia'' kwamba wengi wape.wengi wenu wamekubaliana tukutane leo,lakini pia kutakuwa na nafasi zenu (kama ilivyokuwa MEMKWA) ya kumuona js kwa muda mwingine....afterall ninyi wote js ni mtu wenu wa karibu
SAMAHANI KWA KUWAKWAZA KIDOGO lakini ndio gharama ya demokrasia hiyo.....!