engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
duuuu,unyama gani tena huo jamani,hii dunia wapi tunaelekea,ni bora wangeiba kila kitu kama walivyofanya kwangu kuliko kuuwa tena,ama walikuwa na lao jambo?
Pole sana mkuu,mungu ametowa n apia ametwaaaa jina la bwana liabudiwe
ee mungu zilaze rohoo za maremu mahali pema peponi aaaaaamin,na umpe nguvu na ujasiri kijana mwenzetu aweze kusimama imala ktk wakati huu mgumu alio nao
pole sana mkuu
Pole sana mkuu,mungu ametowa n apia ametwaaaa jina la bwana liabudiwe
ee mungu zilaze rohoo za maremu mahali pema peponi aaaaaamin,na umpe nguvu na ujasiri kijana mwenzetu aweze kusimama imala ktk wakati huu mgumu alio nao
pole sana mkuu