Ustaadh
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 413
- 19
Mwanakijiji,
Kazi kweli kweli, naona umeamua kukata sehemu ya kampeni za CCM hapo Jangwani?
Ndio tatizo la kuegemea upande mmoja....Mwanakijiji kuwa fair kwa mashabiki wa vyama vyote!
Mwanakijiji,
Kazi kweli kweli, naona umeamua kukata sehemu ya kampeni za CCM hapo Jangwani?
Hata mimi nimemshangaa huyo dogo, sijui alimaanisha nini. Hivi yeye mwenyewe atapiga kura?Huyu Sheikh mbona anamuomba Mungu amuweke Kikwete mahali pema?