Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
Manumba classmate. Mwema student... Inauma sana
Si kukosa uelekeo.naona hili jeshi la polisi limekosa uelekeo, kwa kutetea haki za mafisadi wachache
Yaani aliyembambikia mtoto wa Mengi madawa ndo kapewa rungu la kuchunguza tuhuma za mwakyembe hii ni sawa na fisi kupewa ulinzi wa bucha ya nyama au kima shamba la mahindi
Chanzo cha habari hii tunakiomba na kama wewe ni H.Mwakyembe tujulishe!
mtoto wake anazaliwa anakua na mwisho the bad guys will be exterminated.Hili ni Muvi la KIHINDI mwisho steling anakufa.
Hili ni Muvi la KIHINDI mwisho steling anakufa.
Nilikuwa sijacheka tangu jumapili iliyopita! Ha ha haaa...!!! "mboga yenyewe mifupa mitupu?"
Mwakyembe ni tatizo kubwa zaidi ya hao Polisi anaowatuhumu. Kumbe anayo taarifa ya awali ya ugonjwa wake, kama mwanasheria ameshindwa nini kuitisha uchunguzi binafsi wa jinai kuhusu tatizo lake? Hata sasa baada ya Polisi kuonesha "udhaifu" katika uchunguzi wao, kwanini Mwakyembe asiombe msaada wa wataalamu wa nje waliobobea katika upelelezi wafanye uchunguzi upya? Anaogopa nini?
Siwapendi watu walalamishi, lakini huyu amenikera zaidi na ukiwa makini hata faida ya kuwa msomi haionekani!
...tunakoelekea sasa tutegemee kuiona ripoti ya ugonjwa wake kwenye magazeti, kitu ambacho si kizuri sana!
Mwakyembe ni tatizo kubwa zaidi ya hao Polisi anaowatuhumu. Kumbe anayo taarifa ya awali ya ugonjwa wake, kama mwanasheria ameshindwa nini kuitisha uchunguzi binafsi wa jinai kuhusu tatizo lake? Hata sasa baada ya Polisi kuonesha "udhaifu" katika uchunguzi wao, kwanini Mwakyembe asiombe msaada wa wataalamu wa nje waliobobea katika upelelezi wafanye uchunguzi upya? Anaogopa nini?
Siwapendi watu walalamishi, lakini huyu amenikera zaidi na ukiwa makini hata faida ya kuwa msomi haionekani!
...tunakoelekea sasa tutegemee kuiona ripoti ya ugonjwa wake kwenye magazeti, kitu ambacho si kizuri sana!
DCI, ungenyamaza tu....
Kunya anye mwingine, wewe unajifanya unajua kumchamba, unaona sasa??!!
mnamuua mtu hamsemi ukweli mnataka atulie duuu hiii nchi raisi sana kuiongoza aiseee!