Triplets
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 1,146
- 202
hivi raisi hana wasaidizi? harambee ya kiwanda cha tangawizi, kuhutubia mkutano wa chakula nk nk...wasaidizi wake kwa nini wasiende?
Hii imesemwa mpaka basi, wasimwambie tu apumzike wamueleze pia jinsi safari zake zisivyo na faida na hasara anayotutia walipa kodi..maana inawezekana wanaongea tu magazetini halafu wakifika mbele ya bwana mkubwa wana sugar coat..
Hii imesemwa mpaka basi, wasimwambie tu apumzike wamueleze pia jinsi safari zake zisivyo na faida na hasara anayotutia walipa kodi..maana inawezekana wanaongea tu magazetini halafu wakifika mbele ya bwana mkubwa wana sugar coat..