Kutokana na watu wengi kusumbua wizara ya Utumishi kutaka kujua ni lini Ajira zitatoka.
Wizara hiyo imetangaza rasmi kuwa Ajira za Waalimu wa shule za Msingi na Sekondari 2013/2014 zitatangazwa tarehe 13-19 February.
Na kuwasili kwa waalimu katika vituo vya kazi ni Tarehe 01- 10 /03/2014.
Upatapo taarifa hii mjulishe na mwenzako.
Source: Mwananchi newspaper of 03/02/2014
Wizara hiyo imetangaza rasmi kuwa Ajira za Waalimu wa shule za Msingi na Sekondari 2013/2014 zitatangazwa tarehe 13-19 February.
Na kuwasili kwa waalimu katika vituo vya kazi ni Tarehe 01- 10 /03/2014.
Upatapo taarifa hii mjulishe na mwenzako.
Source: Mwananchi newspaper of 03/02/2014