Nimepata taarifa za kuuzunisha sana dakika chache zilizopita kwamba Retired Major General Anatoli Kamazima amefariki dunia ghafla usiku wa leo - kuamkia Jumatano ya Tarehe 26 Mwezi wa Tisa Mwaka 2012 kutokana na mshtuko wa moyo; Bwana alitoa, na Bwana ametwaa, Mungu amlaze mahali pema peponi Mzee wetu mpendwa Anatoli Kamazima, AMEN;
ndiye nani huyo?au ni mmojawapo wa hao warundi wanaojichukulia uraia kiholela nchi hii!
Ndo nani huyu
Makubwa tena haya inamaana maziko yatafanyika huko kwao? Dah Mwenyezi Mungu aiweke Roho ya Marehemu pahali panapostahili....
Hii nchi watu wanajua siri za watu na kuzitoa siku wanapoondoka au kuaga Dunia...
Tuasikia mengi sana baada ya vifo vya Viongozi wetu hadi pale Rushwa itakapoisha...
Hivi Bukoba inapakana na Burundi? manake nilisikia kuna Mbunge walimsema alivuka mpaka akaishi hadi alipogombea vyeo ndipo uhakiki ukaanza... ila hilo jina limekaa ki untanzanianKamazima ni mhaya,mzaliwa wa kijiji cha Maruku,Bukoba vijijini. Mmoja wa maafisa wa jeshi wenye nidhamu na uzalendo wa hali ya juu JWTZ limepata kuwa nao.
Dah ni habari za kusikitisha sana, poleni mke, watoto na wafiwa wote. Kwa watu wasiomfahamu Mzee Meja Jenerali Mstaafu Anatoly Kamazima, alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU (PCCB)>
Hivi Bukoba inapakana na Burundi? manake nilisikia kuna Mbunge walimsema alivuka mpaka akaishi hadi alipogombea vyeo ndipo uhakiki ukaanza... ila hilo jina limekaa ki untanzanian
ndiye nani huyo?au ni mmojawapo wa hao warundi wanaojichukulia uraia kiholela nchi hii!