Taarifa rasmi ya kusitisha mgomo kutoka chama cha madaktari 10/03/2012

Du kwa kweli madaktari mbarikiwe na bwana aliye hai kwa kuonyesha uzalendo wa kuwajari wahanga wa jambo hili, tena huu uzi(thread) naomba kama kuna daktari yeyote asijihusishe katika kujibu hoja yeyote nyinyi kwa sasa mnahitaji kupumzika na kutafakari mambo mawili matatu, unajua katika huu ulimwengu hakuna field ambayo more respectable kama doctors ila tu hapa tanzania wanaleta utani, hapa nimeona kuna watu sijui wametumwa badala ya kuwapongeza madaktari wao wanadhihaki/tania/leta dharau kwa madaktari hakika hao ni wajinga, kuna msemo mmoja wa kizungu unasema "don't argue with fool people may not notice the difference", na life comes to end when you remain silent for the things that matters. Kwa kweli nyinyi mmeonyesha ujasiri mmefurukuta mpaka ujumbe umefika safi sana. Kuna idara nyingi zinaumia zimekaa kimya.

Hilo ndio la msingi.... Kuna fani zingine hata ukichua watu wa form six waingie kazini kazi itafanyika sio Doctors. Msicheze na hii fani kabisa. Doctors wakisema hawatoa ushirikiano jamani ni hatari. Nilipata kusikia neno kwa mtu mmoja pale muhimbili kuwa Doctors wakitangaza vita na mtu ni tabu kubwa...... Hapa vita inaenda hadi kwa familia yako na ukumbuke kuwa hawa hawa ndio wako hospitali kubwa binafsi kwa contract. Tusiombe mabaya ila Mponda akiuguu tu hata akienda Regency, TMJ Aga khan nadhani hawa jamaa hawatamsadia. Naona sasa yeye na familia yake ndio wamepata ticket rasmi ya kwenda Indiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Jamani hapa hatutafuti mshindi..kama wanarudi kazini ni kheri. Cha msingi hapa serikali ni kujua kuwa kuna fani si za kuchezea...Wamesema vizuri kuwa Dr unaweza kutumia dola na nguvu kumrudisha kazini kakini nature ya kazi yake uwezi kumlazimisha kufanya kazi. Tusipoangalia na statement yao hii...Kupasua kichwa badala ya mguu sasa itaanza kuwa normal issue....

Na kama wametangaza kuwa hawatoa ushirikiano na hao wamaziri basi lazima watang'oka tu... Medicine si fani ya kuchezea....Kuna fani zingine unaweza kumlazimisha mtu aende kazini na akafanya kazi si Doctors (Life & Death).


Hata sisi tuliowafundisha kusoma na kuandika ni muhimu vile vile!
 
[h=6]RIPOTI KWA VYOMBO VYA HABARI.

UTANGULIZI
Baada ya kikao cha madaktari kilichofanyika leo tarehe 10/3/2012. Madaktari nchini kupitia chama cha madaktari Tanzania (MAT), tunapenda kutoa ufafanuzi ufuatao:

... 1. Jamii ielewe kuwa daktari kama binadamu mwingine anayefanya kazi Tanzania ana mahitaji muhimu (basic needs) na mahitaji ya kijamii (social responsibility) na hivyo si chombo cha kufanyia kazi (Machine).

2. Pia Daktari ana haki ya kupata ujira unaomfaa kutokana na kazi anayofanya na ana haki ya kuacha kazi muda wowote iwapo ataona kazi hiyo ya udaktari haimpi ujira wa kutosha na heshima ya kuendesha maisha yake.

3. Pia jamii itambue kuwa daktari anaweza kulazimishwa kurudi kazini lakini hawezi kulazimishwa kufanya kazi. Matokeo ya kulazimishwa yanaweza yasiwe mazuri kwa wale watakao hudumiwa.

4. Jamii itambue kuwa madai na hoja kuu za madaktari ni kwa ajili ya faida ya Watanzania wote,yakiwemo mazingira bora ya kufanya kazi mjini na vijijini, na kuboresha afya za watanzania kwa ujumla. Pia vifaa na dawa ziwepo mahospitalini zinakohitajika.

5. Pia tunawashukuru madaktari wote kwa mshikamano wetu tulioonyesha na tunaomba mshikamano huu uendelee daima.

TAMKO LETU:

JANA TAREHE 9/3/2012, TULIKUTANA NA MH. RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE. TULIMWELEZA HOJA ZETU, AMBAZO ALIZIELEWA NA ALIAHIDI KUZISHUGHULIKIA KIKAMILIFU. TUNA IMANI SANA NA MH. RAIS KWAMBA HATATUANGUSHA.

KUTOKANA NA HILO, TUNAPENDA KUUTANGAZIA UMMA WA WATANZANIA KUWA TUNARUDI KAZINI RASMI KUANZIA LEO TAREHE 10/3/2012, WAKATI MHESHIMIWA RAIS AKISHUGHULIKIA MADAI YETU.

PIA WAKATI MADAI YETU YAKISHUGHUKLIKIWA TUNAPENDA KUSEMA KUWA HATUNA IMANI NA WAZIRI WA AFYA MH. DR. HAJI MPONDA NA MH. DR. LUCY NKYA, NA KUWA TUNAMSIMAMISHA RASMI UANACHAMA WA MAT MH. DR. LUCY NKYA.

MADAKTARI TUNATAMKA WAZI KUWA WAZIRI WA AFYA DR. HAJI MPONDA NA NAIBU WAKE DR. LUCY NKYA NI MAADUI WA MADAKTARI NA SEKTA YA AFYA KWA UJUMLA HAPA NCHINI NA TUNAAHIDI KUTOKUWAPA USHIRIKIANAO WA AINA YOYOTE WA KIBINAFSI AU WA KIUTENDAJI.

SOLIDARITY FOREVER.
RAIS(MAT)[/h]


hii sio ile mat iliyo laani mgomo wa madaktari kweli tanzania kichwa cha mwendawazimu..

RIP tz
 
Baada ya Gahwa na Juisi za tende, hizo ni ngonjera. Ukweli unabaki kuwa ukweli, madai yenu mliahidiwa pia kushughulikiwa na Pinda na yanashughulikiwa, kwa hilo hamna jipya.

Nyinyi mlikazania Mponda na Nkya wafukuzwe kazi, sasa yamewashinda ngonjera imedilika na kuwa kama watoto wadogo mnakuja eti Nkya kafukuzwa uanachama wa MAD na Mponda na Nkya ni "maadui wa madaktari" "hatuwapi ushirikiano|, Huo ni utoto na ujinga.

Mkubali tu kuwa mliyoyakuta Ikulu hamkuyategemea na yamewanyamazisha na Mponda na Nkya wanadunda kama Waziri na Naibu Waziri. Huyo ndio Jakaya Mrisho Kikwete, kaweza kuwaunganisha Wapemba na Waunguja itakuwa nyinyi?

Umewashuka.

Hivi ww Ribo ni wa kike au kiume? Hivi bado hujaelewa tuu kwamba Mponda na shemeji yake kwisinei kwenye ajira? Hivi ww unadhani uongozi ni nini hasa? Japan palitokea natural calamities lakini waziri akijiuzulu pamoja na wengine wanne kisa quake ilipiga nuclear store ikapasuka...
Ni bora unyamaze tudhanie una busara
 
kiufupi mkuu mgomo huo mlichemka ile mbaya, kwani mlikuwa hamjaambiwa kuwa hatoondoshwa pale, majibu ya raisi hayajapingana na ya pinda. Pinda alisema madai ya kuwaondosha waziri na naibu wake yanashughulikiwa na serikali wala hakusema kuwa serikali imesema haitowaondosha pale. Jaziba na ukurupukaji wa kuona kuwa hamkosei ndio imewafanya mchukiwe na jamii, ndio maana hapo kwenye tamko lako umeanza kujitetea kwa jamii. Nyie madaktari ndio mnaoomba rushwa na sio Haji mponda, nyie ndio mnajifanya mko busy tunapokuja kwenye hospitali kupata huduma, nyinyi ndio wengi mnamiliki vituo vya afya,nyinyi ndio mnao kuwa mnawaelekeza wagonjwa wakanunue dawa kwenye farmacy zenu, nyie madaktari ndio mnaotoa mimba, nyie madaktari ndio mnaowauzia wagonjwa damu, yaani jamii ikipima makosa ya Hadji mponda na nyie, yaani nyie ndio mlipaswa kuondoshwa wote ila basi tu, nyie madaktari hamwajibiki vile inavyopaswa kwani mnafanya kazi zaidi ya hospitali moja hali ya kuwa nyie ni waajiliwa wa serikalini na mmesomeshwa bure na serikali, nyie madaktari ndio baadhi yenu huchukua dawa kwenye vituo vya serikali wanakofanyia kazi na kupeleka kwenye vituo vyao wanavyomiliki, sasa nataka mniambie je haya yote na mangine mengi tu mnayajua nyinyi wenyewe,kama yale ya muhimbili,mwananyamala na kungineko mnakojua wenyewe mlikuwa mnayafanya kwa sababu ya Hadji Mponda??? hasa wewe raisi uliyekuwa kinara wa kutangaza migomo nakushauri sana rudi kwa mola wako ukatubu ukweli wa kutubu kwani usidhani Mungu atakuacha ivi ivi kwa yaliyotokana na ujeuri wa cheo hicho. Kila unalolifanya kaka ujue linarekodiwa na mbele za Mungu utaulizwa. Kwahiyo kafanye toba ya kweli. na kama hamkuwa na chuki binafsi kwa waziri basi hamna sababu ya kumchukia ivo vyote kwani kama mnaona kafanya makosa basi jueni kuwa na yeye ni binadamu. ivi nyinyi ni wasafi kiasi gani mpaka mseme hamtotoa ushirikiano wa kibinafsi wala wa kiutendaji? ivi nyie Mungu nanyi akisema hatowasamehe makosa yenu mnayoyatenda kila kukicha mtafanya nini? kama Mungu mwenyewe Muumba wa mbingu na aridhi na vyote vilivyomo anasamahe je iweje nyie, ivi rais wa MAT huo ujeuri hasa unautoa wapi? mrudie Mungu wako ukatubu kwani duniani sisi ni wa kupita tu.
Hapo kwenye bold ulianza vizuri...nikukumbushe tu ...waliokwishawekwa pembeni ni Deo Mtasiwa na Blandina Nyoni na ambao bado wanadunda ni Haji Mponda na Lucy Nkya. Kulikoni ndugu yangu unaona ni Haji Mponda pekee mwenye kutaka kuwajibishwa? Conclusion yangu mimi ni wewe lazima utakuwa walewale wa 'UBWABWA'...!
 
Nawapa pote wale wote waliopoteza maisha, na wote wengine walioathirika kwa njia moto au nyingine kutokana na mfarakano huu. POLE SANA.
 
Nawapa pole wale wote waliopoteza maisha, na wote wengine walioathirika kwa njia moto au nyingine kutokana na mfarakano huu. POLE SANA.
 
Tamko mlilotoa linaviashiria vya U-LOOSER!!
linafanana na yale majigambo wa watu waoga kwamba. umenipiga huku mtaani siku ukija kwetu utaniona!!

Akili yako ni ya kitoto sana na unawaza kitoto sana,rudi darasani ukapanue ufahamu wako. Iko hivi
Katika Industrial Realations kunapotokea trade/labour dispute especially based on dispute of interst na pande zikakubali kuingia kwenye Collective Bargaining (CB) ili pande ziweze kufikia muafaka lazima kuwe na mazingira yafuatayo.
1.bargaining in goog faith
2.win/lose to win/lose situation must exist
Hali hiyo ikishakuwepo ndipo kunaweza kupatikana Collective Bargaining Agreement.(CBA) na hiyo CBA inazibind both sides hivyo inakuwa ni right,in the future makubaliano yasipotekelezwa inakuwa ni Dispute of Right na si Dispute of Interest tena.. Hivyo hiki ndicho kilihofanyika kwa Drs na Jk kila upande kukubali ile hali ya win/lose to win/lose situation, pangekuwa na hali ya win-win situation kusingefanyika kitu hapo,no agreement. Hongereni sana Drs kwa kuonyesha kweli mmekwenda shule na mmeonyesha ukomavu wa akili. Big up!. Kwa anayeponda hiki kilichofanyika atakuwa kilaza sana.
 
Hongereni kwa kumaliza mgogoro huu. Ikulu ndio mwisho wa matatizo yote kwa kuwa ndiyo ofisi kuu hapa nchini kwa maana hiyo ukifika tu hapo hakuna jambo linaloharibika.
 
Pamoja na obovu wote wa JK
Lakini JK anakitu kimoja very unique....... ushawishi mnapokutana naye uso kwa uso.
He never failed in this

Hongera JK hongera Drs

Big up Doctors...!!!!!! JK hana jipya, ni yale yale, kama huamini, msubiri umsikie jumatatu
 
ni kama vile viongozi wa chadema walipoalikwa chai na juice pale ikulu na kuhidumiwa na JK basi mpaka leo hatuoni zile kelele tena! hekima itawale kwanza ili tushinde!

.
Ikiliza live ufunguzi wa campain za chadema huko Arumeru ndio urud tena hapa.
.
 
Tamko mlilotoa linaviashiria vya U-LOOSER!!
linafanana na yale majigambo wa watu waoga kwamba. umenipiga huku mtaani siku ukija kwetu utaniona!!

Akili yako ni ya kitoto sana na unawaza kitoto sana,rudi darasani ukapanue ufahamu wako. Iko hivi
Katika Industrial Realations kunapotokea trade/labour dispute especially based on dispute of interst na pande zikakubali kuingia kwenye Collective Bargaining (CB) ili pande ziweze kufikia muafaka lazima kuwe na mazingira yafuatayo.
1.bargaining in goog faith
2.win/lose to win/lose situation must exist
Hali hiyo ikishakuwepo ndipo kunaweza kupatikana Collective Bargaining Agreement.(CBA) na hiyo CBA inazibind both sides hivyo inakuwa ni right,in the future makubaliano yasipotekelezwa inakuwa ni Dispute of Right na si Dispute of Interest tena.. Hivyo hiki ndicho kilihofanyika kwa Drs na Jk kila upande kukubali ile hali ya win/lose to win/lose situation, pangekuwa na hali ya win-win situation kusingefanyika kitu hapo,no agreement. Hongereni sana Drs kwa kuonyesha kweli mmekwenda shule na mmeonyesha ukomavu wa akili. Big up!. Kwa anayeponda hiki kilichofanyika atakuwa kilaza sana.
 
[FONT=century gothic
Lakini JK anakitu kimoja very unique....... ushawishi mnapokutana naye uso kwa uso.
He never failed in this.......... [/FONT]
hope so, as so far, he has failed with me. I have lost all trust, hope or faith in him as president. Dont quote me wrong, he is a very good man, in a normal scale
 
Paulss, hiyo ni moja ya sifa kuu za JK, inaitwa "good convincing power"!.
Jana nilisema mahali, leo mgomo utakwishwa "unconditional"
JK Kiboko!.
Nachelea kusema JK hana huo ushawishi. Kwa nini hakukutana na madaktari tokea mwanzo kabisa kuepusha maafa na usumbufu uliojitokeza?
 
RIPOTI KWA VYOMBO VYA HABARI.

UTANGULIZI
Baada ya kikao cha madaktari kilichofanyika leo tarehe 10/3/2012. Madaktari nchini kupitia chama cha madaktari Tanzania (MAT), tunapenda kutoa ufafanuzi ufuatao:

... 1. Jamii ielewe kuwa daktari kama binadamu mwingine anayefanya kazi Tanzania ana mahitaji muhimu (basic needs) na mahitaji ya kijamii (social responsibility) na hivyo si chombo cha kufanyia kazi (Machine).

2. Pia Daktari ana haki ya kupata ujira unaomfaa kutokana na kazi anayofanya na ana haki ya kuacha kazi muda wowote iwapo ataona kazi hiyo ya udaktari haimpi ujira wa kutosha na heshima ya kuendesha maisha yake.

3. Pia jamii itambue kuwa daktari anaweza kulazimishwa kurudi kazini lakini hawezi kulazimishwa kufanya kazi. Matokeo ya kulazimishwa yanaweza yasiwe mazuri kwa wale watakao hudumiwa.

4. Jamii itambue kuwa madai na hoja kuu za madaktari ni kwa ajili ya faida ya Watanzania wote,yakiwemo mazingira bora ya kufanya kazi mjini na vijijini, na kuboresha afya za watanzania kwa ujumla. Pia vifaa na dawa ziwepo mahospitalini zinakohitajika.

5. Pia tunawashukuru madaktari wote kwa mshikamano wetu tulioonyesha na tunaomba mshikamano huu uendelee daima.

TAMKO LETU:

JANA TAREHE 9/3/2012, TULIKUTANA NA MH. RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE. TULIMWELEZA HOJA ZETU, AMBAZO ALIZIELEWA NA ALIAHIDI KUZISHUGHULIKIA KIKAMILIFU. TUNA IMANI SANA NA MH. RAIS KWAMBA HATATUANGUSHA.

KUTOKANA NA HILO, TUNAPENDA KUUTANGAZIA UMMA WA WATANZANIA KUWA TUNARUDI KAZINI RASMI KUANZIA LEO TAREHE 10/3/2012, WAKATI MHESHIMIWA RAIS AKISHUGHULIKIA MADAI YETU.

PIA WAKATI MADAI YETU YAKISHUGHUKLIKIWA TUNAPENDA KUSEMA KUWA HATUNA IMANI NA WAZIRI WA AFYA MH. DR. HAJI MPONDA NA MH. DR. LUCY NKYA, NA KUWA TUNAMSIMAMISHA RASMI UANACHAMA WA MAT MH. DR. LUCY NKYA.

MADAKTARI TUNATAMKA WAZI KUWA WAZIRI WA AFYA DR. HAJI MPONDA NA NAIBU WAKE DR. LUCY NKYA NI MAADUI WA MADAKTARI NA SEKTA YA AFYA KWA UJUMLA HAPA NCHINI NA TUNAAHIDI KUTOKUWAPA USHIRIKIANAO WA AINA YOYOTE WA KIBINAFSI AU WA KIUTENDAJI.

SOLIDARITY FOREVER.
RAIS(MAT)
A very logical decision by doctors to end the strike.....all for the better of the Tanzanian citizens....God bless the docs!!!
 
RIPOTI KWA VYOMBO VYA HABARI.

UTANGULIZI
Baada ya kikao cha madaktari kilichofanyika leo tarehe 10/3/2012. Madaktari nchini kupitia chama cha madaktari Tanzania (MAT), tunapenda kutoa ufafanuzi ufuatao:

... 1. Jamii ielewe kuwa daktari kama binadamu mwingine anayefanya kazi Tanzania ana mahitaji muhimu (basic needs) na mahitaji ya kijamii (social responsibility) na hivyo si chombo cha kufanyia kazi (Machine).

2. Pia Daktari ana haki ya kupata ujira unaomfaa kutokana na kazi anayofanya na ana haki ya kuacha kazi muda wowote iwapo ataona kazi hiyo ya udaktari haimpi ujira wa kutosha na heshima ya kuendesha maisha yake.

3. Pia jamii itambue kuwa daktari anaweza kulazimishwa kurudi kazini lakini hawezi kulazimishwa kufanya kazi. Matokeo ya kulazimishwa yanaweza yasiwe mazuri kwa wale watakao hudumiwa.

4. Jamii itambue kuwa madai na hoja kuu za madaktari ni kwa ajili ya faida ya Watanzania wote,yakiwemo mazingira bora ya kufanya kazi mjini na vijijini, na kuboresha afya za watanzania kwa ujumla. Pia vifaa na dawa ziwepo mahospitalini zinakohitajika.

5. Pia tunawashukuru madaktari wote kwa mshikamano wetu tulioonyesha na tunaomba mshikamano huu uendelee daima.

TAMKO LETU:

JANA TAREHE 9/3/2012, TULIKUTANA NA MH. RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE. TULIMWELEZA HOJA ZETU, AMBAZO ALIZIELEWA NA ALIAHIDI KUZISHUGHULIKIA KIKAMILIFU. TUNA IMANI SANA NA MH. RAIS KWAMBA HATATUANGUSHA.

KUTOKANA NA HILO, TUNAPENDA KUUTANGAZIA UMMA WA WATANZANIA KUWA TUNARUDI KAZINI RASMI KUANZIA LEO TAREHE 10/3/2012, WAKATI MHESHIMIWA RAIS AKISHUGHULIKIA MADAI YETU.

PIA WAKATI MADAI YETU YAKISHUGHUKLIKIWA TUNAPENDA KUSEMA KUWA HATUNA IMANI NA WAZIRI WA AFYA MH. DR. HAJI MPONDA NA MH. DR. LUCY NKYA, NA KUWA TUNAMSIMAMISHA RASMI UANACHAMA WA MAT MH. DR. LUCY NKYA.

MADAKTARI TUNATAMKA WAZI KUWA WAZIRI WA AFYA DR. HAJI MPONDA NA NAIBU WAKE DR. LUCY NKYA NI MAADUI WA MADAKTARI NA SEKTA YA AFYA KWA UJUMLA HAPA NCHINI NA TUNAAHIDI KUTOKUWAPA USHIRIKIANAO WA AINA YOYOTE WA KIBINAFSI AU WA KIUTENDAJI.

SOLIDARITY FOREVER.
RAIS(MAT)
Sijaridhika na maelezo, sana sana maelezo yamenikasirisha zaidi. Hebu itisheni mkutano mfafanue zaidi maana kuna maswali mengi yanahitaji kujibiwa.
 
Back
Top Bottom