MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Salam sana wanaJF, kutokana na umuhimu wa Uchaguzi huu mgogo nani ya Jimbo ya Arumeru Mashariki hadi JUZI JUMATANO hali halisi inaonesha asilimia hado ni 50 by 50 kati ya CHADEMA na ccm.Ila naamini upepo unaweza badilika kwani wiki ijayo ndo ya mashambulizi makali na ndo funga kazi.
Kwa bahati mbaya sasa nipo safarini na ningependa wadau wa hapo Arumeru mtujuze zaidi tafadhali.
Tunaomba taarifa hizo ziwe rasmi tafadhali
Proactive is a focus to me
Kwa bahati mbaya sasa nipo safarini na ningependa wadau wa hapo Arumeru mtujuze zaidi tafadhali.
Tunaomba taarifa hizo ziwe rasmi tafadhali
Proactive is a focus to me