Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Ngongo, kauli yako hii ni jinai ya uhaini, ni kosa kubwa na adhabu yake ni capital punishment!. JF nayo itashitakiwa as accomplice before the facts.Nitafurahi siku huu muungano ukivunjika sioni faida ya muungano kabisa sana sana Dar inabeba mzigo wa wapemba.WaTanganyika tuandae maandamano ya kupinga muungano.
Kwa mujibu wa katiba yetu, hata kuwaza tuu kuuvunja muungano, ni jinai ya uhaini.
Pamoja na uhuru mkubwa tulionao humu jukwaani, uhuru huu kwa mujibu wa sheria zetu, ni just a favour na sio right, freedom of expression ina mipaka yake, nawaombeni tusi abuse!. Sheria ya magazeti ya 1976 bado ipo, ila haitumiki, wenyewe wakiamua kuitumia, atakayeteseka sio mimi wala wewe Ngongo maana wengi wetu ni ghosts tui humu, tutamtesa Max!. Please!