Kuanzia kesho tar 1.2.2012,gazeti la mwananchi litauzwa tshs 800,hii inatokana kupanda gharama za karatasi na umeme.
source.mwananchi ya leo.
Kuanzia kesho tar 1.2.2012,gazeti la mwananchi litauzwa tshs 800,hii inatokana kupanda gharama za karatasi na umeme.
source.mwananchi ya leo.
Kuanzia kesho tar 1.2.2012,gazeti la mwananchi litauzwa tshs 800,hii inatokana kupanda gharama za karatasi na umeme.
source.mwananchi ya leo.
500 to 800... Tutasimama wengi kwa wauza magazeti tusome vichwa vya habari tu.
Habari sio chakula useme lazima nizipate kila siku kwa hiyo kulikosa mwananchi sitapungukiwa na kitu chochote kwani kuna Majira, Nipashe, Mtanzania, Tanzania daima n.k. nitayasoma hayo yanatosha
Na tukiizoeazoea hiyo 800 ndo tunapelekwa kwenye 1000 ambalo nadhani ndo lengo, la sivyo hizo 200 tutawaachia sana wauza magazeti.
kila kitu kitapanda hata mishahara itapanda..!
zimbabwe number 2, itakuwa kwenda sokoni lazima uwe na milion moja ndo ufanye shoping