MUNYAMAKWA
Member
- Jun 15, 2012
- 59
- 5
Hilo ni tamko la bodi sio la serikali,kwa mkanganyiko huu kwanini tusiseme maagizo ya bodi ni null and void?.Mumeyakoroga kwa kumjeruhi Dr. Ulimboka ,sasa hata aliyekuwa haukubali mgomo wa madaktari anaanza kuamini kwamba LISEMWALO LIPO KAMA HALIPO.....Oh!poleni sana watoa maamuzi bila kutafakari kwa kina