TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - Maandamano ya Amani na Mkutano wa Wazi

Status
Not open for further replies.
imeshapata kibali toka inteligensia ya nchi? maana hii ndiyo section ambayo jamaa wana peform excellent. Ili kama sivyo basi tujiandae kuja na chupa za maji ya uhai.
 
Nionavyo mimi ni kwamba hakuna maandamano hapo.
  • 1 Agosti 2011 ni siku ya kazi - Jumatatu: Ngunguri hawataruhusu
  • X Foundation - Simply means No foundation and actually NO Tanzania since it crosses the national flaf - Sina hakika kama serikali inaweza kutoa usajili kwa shirika kama hili linaloifuta Tanzania.
  • Malengo - Nukuu za katiba tupu: Je haya ni maandamano ya kuhamasisha watu kuijua katiba yao
  • Mgeni Rasmi - Beatrice Shellukindo: Atakuwa Bungeni. Hapa amewekwa ili kuongezewa ujiko tu.
Hoja Pekee ya kufanyaMaandamano yawepo (haipo wazi kwenye malengo)
  • Urais 2015: Mama huyu (Bi Shellukindo) si ndo anayempigia kampeni EL kwa ajili ya urais 2015? Si mbio za urais zimeanza? Inawezekana maana wale mapacha wa CCJ nao wanazunguka - Hii ndo hoja pekee inayoweza kufanya maandamano yakafanyika. URAIS wa EL 2015
 
Nimependa jinsi ambavyo watu wanavyojaribu kutafakari mambo kwa kina badala ya kukubali kirahisi rahisi. Hata hivyo nionanyo mimi ni kwamba issue ya tatizo la umeme ni la kitaifa na lina cut accross all political boundaries. Tuweke kwanza utaifa wetu mbele na si siasa na itikadi za vyama. Tusipoweka utaifa mbele kamwe nchi hii haitaweza kuendelea. Binafsi sioni sababu ya mtu kukataa kwenda kwenye maandamano eti kwa sababu hayo maandamano yanasadikika kuandaliwa na chama fulani hata kama yana maslahi ya nchi. Hii haina tofauti na wabunge kupinga hoja hata kama ni ya msingi na yenye maslahi kwa nchi eti kwa sababu inatoka kwa mbunge wa chama kingine. Kwa mwenendo huu tutafika kweli?Tunatumikia vyama zaidi kuliko nchi na watanzania kwa ujumla. Ni vyema zaidi tukaungana kwenye mambo ya msingi na yenye maslahi kwa nchi na kutofautiana kwenye mambo yasiyo na maslahi kwa nchi. Tatizo kubwa linaloingamiza nchi yetu ni KUKOSA UTAIFA.
 
Mhe. Beatrice Matumbo Shellukindo (MB, Kilindi, CCM), kishirikiana na viongozi wa vyama mbali mbali vya kisiasa na kijamii, ambao watakuwa wamealikwa kuhudhuria.
 
283509_141022539312971_100002156774748_272727_7021239_n.jpg
 
Mpasuko ndani ya CCM ni kitu kinachojulina siku nyingi. Yanayoendelea sasa hivi ni "ukimwaga kitoweo, namwaga ugali".

Hii ndio nguvu ya RA na EL na wenzao.

Ngoja nitafute bisi nikae mkao wa kutazama bonge la senema.
 
Mantiki na uwepo wa hayo maandamano ni nini? nimelisoma tamko lakini sijaona ni maandamano hayo ni ya nini? kupinga hayo kwenye katiba? kutaka yabadilishwe? au? nisaidieni
Kitu gani ueleweshwe? Au kisa ngeleja anatakiwa kujiuzulu?
 
Mpasuko ndani ya CCM ni kitu kinachojulina siku nyingi. Yanayoendelea sasa hivi ni "ukimwaga kitoweo, namwaga ugali".

Hii ndio nguvu ya RA na EL na wenzao.

Ngoja nitafute bisi nikae mkao wa kutazama bonge la senema.
 
Mantiki na uwepo wa hayo maandamano ni nini? nimelisoma tamko lakini sijaona ni maandamano hayo ni ya nini? kupinga hayo kwenye katiba? kutaka yabadilishwe? au? nisaidieni kuelewa.
Maandamano ya kueleza ujinga wa CCM unakaribishwa usikose, njoo na chai na vitafunwa vyako, hapatakuwa na Bahasha za JAIRO.
 
nadhani hakuna tatizo na shelukindo kupokea hayo maandamano, tunachokitaka ni hao viongozi watatu wa wizara kuachia ngazi ata kama jk ndo apokee maandamano bora tu watuachie wizara yetu..
 
Nimerudi tena, baada ya kupita asubuhi,mimi nasema hivi siji huko ng'o then ati mpokea maandamano wana Magamba tena Shellukindo alojitoa kwenye lililokua kundi la wapigania ufisadi na kujiunga na mtandao wa Lowassa? Umepotea mama janja yako tumeijua hyo X kama jina mlotumia ni geresha tuuu wapo wana Magamba wengi nyuma yenu.
 
Nionavyo mimi ni kwamba hakuna maandamano hapo.
  • 1 Agosti 2011 ni siku ya kazi - Jumatatu: Ngunguri hawataruhusu
  • X Foundation - Simply means No foundation - Sina hakika kama serikali inaweza kutoa usajili kwa shirika kama hili.
  • Malengo - Nukuu za katiba tupu: Je haya ni maandamano ya kuhamasisha watu kuijua katiba yao
  • Mgeni Rasmi - Beatrice Shellukindo: Atakuwa Bungeni. Hapa amewekwa ili kuongezewa ujiko tu.
Hoja Pekee ya kufanyaMaandamano yawepo (haipo wazi kwenye malengo)
  • Urais 2015: Mama huyu (Bi Shellukindo) si ndo anayempigia kampeni EL kwa ajili ya urais 2015? Si mbio za urais zimeanza? Inawezekana maana wale mapacha wa CCJ nao wanazunguka - Hii ndo hoja pekee inayoweza kufanya maandamano yakafanyika. URAIS wa EL 2015
Mkuu hili nimeliona mapema kabisa wanataka kupima upepo wa watu hapo huyu mama Shellukindo haaminiki kabisa na mpango wake mzima ni kutaka kumcaimpenia Manywele
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom