Li capiteni
Senior Member
- Sep 20, 2014
- 176
- 20
Hakuna katiba uchafu mtupu hata MAREHEMU anapigishwa KURA?
Nimepata shida kuamini kuwa imetoka ikulu. Imekaa kama habari ya kawaida katika gazeti. Nafikiri wamekopi na kupesti kutoka kwenye gazeti vinginevyo inawadhalilisha wao na raisHii inayoitwa Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ....Imekwenda shule kweli? hii ni article mbovu kuwahi kuiona duniani? Mungu Ibariki Tanganyika
Hii kweli ni taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu? Basi kuna tatizo kubwa sana.
Kuna shida