Sheikh ponda vp..maandalizi ya kufunga ubalozi wa marekani yanaendeleaje?Chadema wamemeza, chambo, ndoano, mshipi na chubwi.
Amma kweli ukistaajabu ya Musa utakumbana na ya Firauni.
Kumbe kazi yako ni mvuvi?
Sheikh ponda vp..maandalizi ya kufunga ubalozi wa marekani yanaendeleaje?Chadema wamemeza, chambo, ndoano, mshipi na chubwi.
Amma kweli ukistaajabu ya Musa utakumbana na ya Firauni.
Mkuu hatujapewa kibali, sidhani kama mkutano utakuwepo! labda kama walitoa kibali jioni hii.
Kamanda kule kwetu KWA AKINA IWE, ni mambo ya kawaida hata msibani!. Utasikia tutasafirisha mwili wa marehemu kwenda BUKOBA au MULEBA kwa ndege ya kukodi. Hivi sasa tunawasubiri watoto wa marehemu kutoka CANADA anayesoma UFAMASIA, mwingine yuko Ujerumani anachukua PHD, n.k.sidhani kama hilo lilikuwa muhimu sana kuliandika
Kamanda kule kwetu KWA AKINA IWE, ni mambo ya kawaida hata msibani!. Utasikia tutasafirisha mwili wa marehemu kwenda BUKOBA au MULEBA kwa ndege ya kukodi. Hivi sasa tunawasubiri watoto wa marehemu kutoka CANADA anayesoma UFAMASIA, mwingine yuko Ujerumani anachukua PHD, n.k.
hivi kamati hii haingilii uhuru wa mahakama?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
sidhani kama hilo lilikuwa muhimu sana kuliandika