Taarifa kwa Umma: VIPAUMBELE VYA KAMBI YA UPINZANI KWA MWAKA WA FEDHA 2012/2013

Mh. Zitto hongera kwa vipaumbele vinavyolenga kutukomboa kutoka katika hali hii ngumu ya maisha. Hata hivyo nina maswali machache:

  1. Nasikia Mtwara kulikuwa na reli je, kwanini bajeti yenu haikuigusa hiyo reli
  2. Kushinikiza kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma sio kipaumbele chenu? Hamuoni umuhimu wa hili?
  3. (Wadau) naombeni elimu kidogo ya kitu hiki tozo za development skills. Pia ni kwanini wakatwe watumishi wa serikali na mashirika ya umma tu?


Vinginevyo vimesimama imara kwa maoni yangu
Mtwara reli itapekeka nini wewe
 
huwezi kuongelea bajeti/maendeleo bila kugusa sekta ya afya.huu ni umbumbumbu wa hali ya juu.tumeshuhudia mgomo wa madaktari uliotikisa taifa sasa iweje kambi ya upinzani ikae kimya?watanzania kukosa madawa na huduma bora za afya ni jambo la kupewa kipaumbele.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Mtwara reli itapekeka nini wewe

Arusha na Tanga itapeleka nini mkuu?

Mtwara kuna bandari na ile reli inaenda moja kwa moja bandarin. Je, unafikiri itapeleka nini? Ziada cheki hapo chini

Mtwara Line (Southern Province Railway) - (defunct)In 1949 a line was built to link the Tanganyika groundnut scheme plantations around Nachingwea with the port of Mtwara. The scheme famously foundered and the railway was abandoned in 1962. Proposals have been made for a new railway to link Mtwara to iron ore deposits in the west, perhaps linking via Songea to Liganga.


 
Mh. Zitto hongera kwa vipaumbele vinavyolenga kutukomboa kutoka katika hali hii ngumu ya maisha. Hata hivyo nina maswali machache:

  1. Nasikia Mtwara kulikuwa na reli je, kwanini bajeti yenu haikuigusa hiyo reli
  2. Kushinikiza kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma sio kipaumbele chenu? Hamuoni umuhimu wa hili?
  3. (Wadau) naombeni elimu kidogo ya kitu hiki tozo za development skills. Pia ni kwanini wakatwe watumishi wa serikali na mashirika ya umma tu?


Vinginevyo vimesimama imara kwa maoni yangu

NO. 3 hapo juu SDL ni 6% ya gross pay kwa waajiri wote na hii siyo gharama ya mfanyakazi bali mwajiri.
 
Mimi hapo kwenye vipaumbele vya miundo mbinu na umeme vijijini pamoja na misamaa yakodi vitamkomboa mkulima huko kijijini na kuondokana umaskini uliokidhiri huko. HONGERA KAMBI YA UPINZANI.
 
Mh. Zitto tunashukuru sana. Mimi nadhani serikali iangalie upya namna inavyokusanya ushuru. Tuna vyanzo vingi sana vya mapato esp. Customs. TRA hawafanyiqi vizuri' fedha nyingi zinabaki mikononi mwa watumishi wa TRA. Pia hivi mapato yanayokusanywa na mashirika ya umma kama TCRA' TPA' Tanapa yanaenda wapi?wanatumia fedha za umma vibaya.
 
Mh. Zitto hongera kwa vipaumbele vinavyolenga kutukomboa kutoka katika hali hii ngumu ya maisha. Hata hivyo nina maswali machache:

  1. Nasikia Mtwara kulikuwa na reli je, kwanini bajeti yenu haikuigusa hiyo reli
  2. Kushinikiza kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma sio kipaumbele chenu? Hamuoni umuhimu wa hili?
  3. (Wadau) naombeni elimu kidogo ya kitu hiki tozo za development skills. Pia ni kwanini wakatwe watumishi wa serikali na mashirika ya umma tu?


Vinginevyo vimesimama imara kwa maoni yangu

NTEKO VANO

Hakuna mantiki yoyote kuongeza mshahara wakati hatuwezi kukabiliana na mfumuko wa bei. jambo la muhimu ni kudhibiti mfumuko wa bei ili mwananchi aweze kupanga bajeti kwa kipato anachokizalisha na kwa wafanyakazi wa umma kupunguzwa kodi ya PAYE hadi 9% ni zaidi ya ongezeko la mshahara. kubadilika kwa tarakimu katika mshahara hakuna mashiko kama kunasbabisha gharama za maisha kupanda.
 
Vipaumbele ni mevikubali sana.
Kama serikali itazingatia,basi itakuwa budget ya ukombozi kwa mtanzania,lakin kwa mtindo wa kutokubaliana na mambo ya wapinzani hasa kwenye kodi ya mafuta.

Ni wakati sasa ccm wajue na kusoma alama za nyakati , watu wamechoka na maisha na wanataka utendaji sio maneno.

Big up zitto
 
NTEKO VANO

Hakuna mantiki yoyote kuongeza mshahara wakati hatuwezi kukabiliana na mfumuko wa bei. jambo la muhimu ni kudhibiti mfumuko wa bei ili mwananchi aweze kupanga bajeti kwa kipato anachokizalisha na kwa wafanyakazi wa umma kupunguzwa kodi ya PAYE hadi 9% ni zaidi ya ongezeko la mshahara. kubadilika kwa tarakimu katika mshahara hakuna mashiko kama kunasbabisha gharama za maisha kupanda.

Mkuu, PAYE kwa sasa ni 13% kama sikosei, hivyo itashuka kwa asilimia 4%. Ni wazo zuri lakini nilikuwa nafikiria ni vema tungepambana kote kote kupunguza mfumuko wa bei, kushusha kodi ya PAYE na kupigania kuongeza mshahara wa kima chini. Kumbuka haya ni mapendekezo ya kambi ya upinzani yanaweza kutekelezwa au la. Hata hivyo inflation haitashuka kwa mara moja hivyo bado kupigania ongezeko la mshahara kuna umuhimu wake.
 
Mh. Zitto hongera kwa vipaumbele vinavyolenga kutukomboa kutoka katika hali hii ngumu ya maisha. Hata hivyo nina maswali machache:

  1. Nasikia Mtwara kulikuwa na reli je, kwanini bajeti yenu haikuigusa hiyo reli
  2. Kushinikiza kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma sio kipaumbele chenu? Hamuoni umuhimu wa hili?
  3. (Wadau) naombeni elimu kidogo ya kitu hiki tozo za development skills. Pia ni kwanini wakatwe watumishi wa serikali na mashirika ya umma tu?


Vinginevyo vimesimama imara kwa maoni yangu

nadhani kuna neno hujalisoma hapo juu badala ya ongezeko la mishaara anataka kodi ipunguzwe kwenye mishahara.
 
yeah ni kweli kuna haja ya kufufua njia ya reli ya tanga,moshi mpaka arusha pamoja na kukarabati reli ya kati itasaidia sana barabara zetu ziweze kudumu,na kuboresha uchumi wetu kwa kasi.

MKuu msolopa ganzi hili ni tatizo la taifa. Serikali ikifanikiwa kuimarisha hizo reli na mizigo iwe inapitia kwenye reli basi itakuwa ukombozi mkubwa kwenye kuimarisha barabara zetu. Lakini mkuu nani akubali kuimarisha hizi reli wakati wadau wenyewe ndio hao wanaomiliki malori yanayobeba mizigo na kuharibu barabara! Tusubiri tumuone Dr. Mwakyembe atafanya nini.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, PAYE kwa sasa ni 13% kama sikosei, hivyo itashuka kwa asilimia 4%. Ni wazo zuri lakini nilikuwa nafikiria ni vema tungepambana kote kote kupunguza mfumuko wa bei, kushusha kodi ya PAYE na kupigania kuongeza mshahara wa kima chini. Kumbuka haya ni mapendekezo ya kambi ya upinzani yanaweza kutekelezwa au la. Hata hivyo inflation haitashuka kwa mara moja hivyo bado kupigania ongezeko la mshahara kuna umuhimu wake.



YAANI CHADEMA MKITUMIA HII KETE YA KUSHUSHA PAYE LITAKUWA RUNGU LA MWISHO LAKUPIGILIA KWENYE KICHWA CHA JOKA CCM,

MTU UNAPATA MSHAHARA MILION TATU UNALIPA PAYE LAKI NANE HUKU UKIENDA HOSPITAL HUPATI HUDUMA BADO ILI MTOTO WAKO APATE ELIMU BORA INABIDI ULIPE ZAIDI YA MILION MOJA KWA CHECHEKEA! yaani kama kuna manyanyaso makubwa ambayo JOKA CCM LINAWAFANYIA WAAJIRIWA WOTE NCHINI NI HUYU MDUDU PAYE. hatukatia tena tunaweza lipa zaidi kama basi utaona zinafanya nini katika kukufanya uishi kwa raha! pia na Kama serilaki haina vyanzo vingine cha ajabu wa 3 africa kuzalisha dhahabu lakini kodi haikusanywi huko kwa sasabu tu kuna vijoka ndani ya JOKA KUU CCM VINAMILIKI VISHARE VICHACHE AU VIMEHONGWA!

Zitto na chadema tumieni hii kete vizuri MFANYAKAZI ATAKAE WANYIMA KURA ATAKUWA NI SEHEMU YA JOKA KUU CCM HAS 2015 ZIDISHENI MOTO KUHUSU PAYE. muda wa kulipa PAYE KUBWA BADO KWA SASABU TUNA VYANZO VINGI VYA KODI!
 
Back
Top Bottom