Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 541
- 175
Profesa Alexander Nyangero Songorwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi waIdara ya Wanyamapori (Wildlife Division ) kuziba nafasi iliyokuwa wazi.Kabla ya kuteuliwa Profesa Nyangoro alikuwa Profesa Mshiriki katikaUsimamizi wa Wanyamapori, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA),Morogoro. Pia ndiye aliyekuwa Mkuu wa Idara hiyo ya Usimamizi waWanyamapori SUA.Wakati huohuo, Profesa Jafari Ramadhani Kideghesho ameteuliwakuwa Mkurugenzi Msaidizi, kuiongoza Sehemu ya Matumizi Endelevu yaWanyamapori (Sustainable Utilisation of Wildlife Section). Kabla ya uteuzihuo Profesa Ramadhani alikuwa Profesa Mshiriki katika Usimamizi waWanyamapori katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Morogoro