Taarifa kwa umma toka kwa Lema (MB), apinga jeshi la polisi kutumiwa kisiasa

Ciril nimeainisha mambo mengi naona umekimbilia ni kutembea kwa miguu ?.Jibu Mtu anaruhusiwa kutembea kwa miguu,Mikono na aina yoyote ya usafiri mradi afuate sheria na taratibu zilizopo.

Mkuu usitake kujifanya hujui nilichokiandika.Lema anakuasanya vijana maeneo mbali mbali ya mji wa Arusha mratibu wa hili zoezi ni Diwani wa levolosi wote wanaishia eneo moja mahakamani.Ebu jiulize vijana wa maeneo ya

Kijenge,Mwanama,Sombetini,Njiro,Sanawari,Kaloleni,Levolosi,Matejoo,Kwamromboo,Engutoto,Lemara,Kimandolu,Sokoni,Elerai,Mianzini na nk wote waishie eneo moja Mahakamani halafu kesi ikiahirishwa unawaongoza kwenda kufungua matawi kama hiyo hatoshi wakati wa ufunguzi unaizungumzia kesi yako ambayo iko mahakamani sijui kama unanielewa au unapenda ligi ya ubishani?


Hivi mtu akiamua kutembea kwa kutumia miguu yake atakuwa amevunja sheria?Nnaona ulichoandika ni Kama unataka kuingilia uhuru na haki ya mtu.Wapotoshaji tunawajua,tunawapuuzia na tutazidi kuwapuuzia.
 
Heshima kwako Chogo Matata.

Mkuu kuna watu wako tayari kutetea ujinga mradi ujinga huo uwe umefanywa na mtu wanayedhani ni shujaa wao.
Nimeongea mara nyingi bahati mbaya sijui sieleweki au lugha niitumiayo imejaa ukakasi.Nilisema na nitaendelea kusema bila kujali nitaeleweka vipi Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini.Kachaguliwa kwa kura nyingi au kwa maneno rahisi kura zake zilitosha kabisa lakini Mheshimiwa Lema badala ya kuwatumikia wapiga kura wake amelifanya jimbo la Arusha mjini eneo la harakati kwa kuwatumia vijana wasiokuwa na ajira katika harakati zake.

Mheshimiwa Godbless Lema kashtakiwa mahakama kuu mjini Arusha badala ya kupamabana na kesi amekuwa akihamasisha vijana wa vijiweni wasiokuwa na ajira na wanye ajira zisizo rasmi kumsindikiza mahakamani.

Eneo la mahakama kuu mjini Arusha ni dogo sana kuhimili wingi wa washabiki wake.Nia na madhumuni ya Mheshimiwa Lema ni kutumia kesi ya kupinga ubunge wake kama sehemu ya kampeni kwakuwa anajua mwisho wa kesi ni nini.

Niseme bila kutafuna maneno Mheshimiwa Lema kafanikiwa sana kuwavuta wasiokuwa na akili na wasiojua kwamba kuwepo kwao mahakamani hakutasaidia lolote kama wakili wa Lema atashindwa kumwakilisha mteja wake vyema.

Ukodishaji wa pikipiki zilizotundikwa bendera za chama maana yake nini au ni sehemu ya utetezi wa Mheshimiwa Lema ?.Ukusanyaji wa vijana wahuni ambao mara zote wanasababisha msongamano usio wa lazima kila kesi inapohairishwa maana yake nini ?

Mabishano ya kisheria baina ya mawakili wa pande zote kila kesi inapotajwa inamlazimu Lema kutoa ufafanuzi wa kisheria kwa wapambe wake,Tangu lini Lema kasoma sheria,Je huku si kuingilia uhuru wa mahakama ?

Nilisema kabla mkusanyiko ni mkubwa Lema na wapambe wake wanajua hilo lakini kwa maksudi ya wazi wanaamua kuyaacha magari yao wanaamua kutembea kwa miguu umbali wa zaidi ya kilometa tatu/nne wakisindikizwa kwa nyimbo za kejeli kwa mlalamikaji na pikipiki je hii ni sawa.


Sio kila wakati ukiona watu wamejaa mahala basi eti wamehamasishwa. mara nyingine huhamasika wenyewe, bila kupewa kanga, kofia, sukari, mbege na kidogodogo kama chama fuska kinavyoamini.

Angalia kule kwa Gadafi vijana walivyofanya kazi bila malipo. Be careful. Hili suala la Arusha sio zuri sana kama unavyotaka kulirahisisha kwa akili yako.

You can fool some people some times, but not all the time. Nani alikwambia Lema lazima apande gari. Kwanini unadhani lema hakusoma sheria, je kama ana vitabu vya sheria anavyosoma?

Utamaduni wa kujisomea kwa watanzania ni ndoto. Prejudice is a game of a day, but the day shall come whan many shall see the light and corruption shall fall apart.
 
Nuhru Gandhi, Nelson Mandela, Luther King all went through the same harasment, but they have brough changes in the world. Lema dont gi it up. yoa are a real politician, one day the history will tell.

Yaani wewe ndio unachekesha kweli unatolea mifano hao watu makini na mwizi wa magari?

Ni sawa sawa kulinganisha mlima Kilimanjaro na mlima Tegeta
 
Ciril nimeainisha mambo mengi naona umekimbilia ni kutembea kwa miguu ?.Jibu Mtu anaruhusiwa kutembea kwa miguu,Mikono na aina yoyote ya usafiri mradi afuate sheria na taratibu zilizopo.

Mkuu usitake kujifanya hujui nilichokiandika.Lema anakuasanya vijana maeneo mbali mbali ya mji wa Arusha mratibu wa hili zoezi ni Diwani wa levolosi wote wanaishia eneo moja mahakamani.

Ebu jiulize vijana wa maeneo ya Kijenge,Mwanama,Sombetini,Njiro,Sanawari,Kaloleni,Levolosi,Matejoo,Kwamromboo,Engutoto,Lemara,Kimandolu,Sokoni,Elerai,Mianzini na nk wote waishie eneo moja Mahakamani halafu kesi ikiahirishwa unawaongoza kwenda kufungua matawi kama hiyo hatoshi wakati wa ufunguzi unaizungumzia kesi yako ambayo iko mahakamani sijui kama unanielewa au unapenda ligi ya ubishani ?.

Mimi nipo Arusha nnafanya biashara maeneo ya stand ndogo,pia nnafanya biashara ya kusafirisha raia hapa mkoani Arusha.Nnakubaliana na Lema juu ya uonevu huu Wa polisi kwake Kama ilivyowahi kutokea kwangu mimi na R.T.O Wa hapa kuniweka ndani kisa nimemuuliza"kwa nini umuweke dereva wangu ndani kwa kosa la wrong parking pekee wakati tunajua adhabu yake ni notification na Kama hukurudhika uende mahakamani"

Lakini jukumu alilolichukua ni kuniweka ndani bila mimi kutoa maelezo. Hivi huwezi kuona huu ni ukiukwaji mkubwa wa sheria?
Kama huyu R.T.O aliniweka ndani mimi na dereva wangu bila maelezo vipi nisiamini kamanda Zuberi anatumika vibaya kwa kuwakomoa wananchi kwa kutuita panya na kumuonea Lema Mbunge tuliomchagua bila sababu za msingi?

Kwa madai yako kuwa yupo mratibu Wa kukusanya vijana ktk maeneo yote uliyoyataja,mbona sikuona gari ya matangazo ikitangaza? Ninachoamini na kinachoonekana kwa macho ni kuwa wananchi wanafuatilia tarehe za kesi ya mbunge wao ndio maana wanaishia mahakamani sababu walitoka majumbani mwao kwa sababu hiyo hiyo na Kama pana kufungua matawi nnadhani huwa anawaambia tu hapo hapo maeneo ya mahakama(nje).

Tunaijenga nchi moja Tanzania tusiukubali uovu uonevu wowote.
 
Mkuu Ritz unajua kuna wakati wanaukumbi wanakunywa viroba halafu wanakimbilia keyboard.

Yaani wewe ndio unachekesha kweli unatolea mifano hao watu makini na mwizi wa magari?

Ni sawa sawa kulinganisha mlima Kilimanjaro na mlima Tegeta
 
Mkuu FS duh imenibidi nicheke ebu soma tena hizo post halafu njoo tujadiliane.


Sio kila wakati ukiona watu wamejaa mahala basi eti wamehamasishwa. Mara nyingine huhamasika wenyewe, bila kupewa kanga, kofia, sukari, mbege na kidogodogo kama chama fuska kinavyoamini. Angalia kule kwa Gadafi vijana walivyofanya kazi bila malipo. Be careful. Hili suala la Arusha sio zuri sana kama unavyotaka kulirahisisha kwa akili yako.

You can fool some people some times, but not all the time. Nani alikwambia Lema lazima apande gari. Kwa nini unadhani Lema hakusoma sheria. Je kama ana vitabu vya sheria anavyosoma?

Utamaduni wa kujisomea kwa watanzania ni ndoto. Prejudice is a game of a day, but the day shall come when many shall see the light and corruption shall fall apart.
 
Kuna watanzania wachache sana walioathiriwa na siasa za maslahi yao wakiwemo wa chadema wanaweza kujifanya kumshangaa mh Lema kwa namna anavyopambana kugeuza fikra za watu na kuongoza watu kwa mujibu wa hali halisi ya upepo wa siasa za dunia ya 3.

Sisi tunaoona ilipotoka hata marekani hatuwezi kumshangaa Lema maana anafanya kama watu wengine kama MARTIN LUTHER alivyofanya kwa niaba ya watu wa marekani na huyu ZUBERI HAKIKA ajirekebishe iko siku atajuta yeye kama zuberi na vijana wenye siasa kama za
LEMA,WENJE,NASSARI,MDEE,LISU,HECHE,MSIGWA

Sharti wapewe support hawa ni muhimu sana kuirekebisha CCM maana wana asilimia chache sana za uoga na ni wajasiri,sana na lema wewe ni mbungu ARUSHA kwa muda mrefu sana,wanaojidanganya wataona kwamba kumekucha VIVA KAMANDA LEMA
 
Mkuu Ciril mifano yako na mifano ya Lema ni vitu viwili tofauti.Nakubali kweli kuna wakati polisi wanakiuka misingi ya kazi zao lakini katika suala la Lema Polisi wako right kabisa.

Mimi nipo Arusha nnafanya biashara maeneo ya stand ndogo,pia nnafanya biashara ya kusafirisha raia hapa mkoani Arusha.Nnakubaliana na Lema juu ya uonevu huu Wa polisi kwake Kama ilivyowahi kutokea kwangu mimi na R.T.O Wa hapa kuniweka ndani kisa nimemuuliza "kwa nini umuweke dereva wangu ndani kwa kosa la wrong parking pekee wakati tunajua adhabu yake ni notification na Kama hukuridhika uende mahakamani"

Lakini jukumu alilolichukua ni kuniweka ndani bila mimi kutoa maelezo. Hivi huwezi kuona huu ni ukiukwaji mkubwa wa sheria?
Kama huyu R.T.O aliniweka ndani mimi na dereva wangu bila maelezo vipi nisiamini kamanda Zuberi anatumika vibaya kwa kuwakomoa wananchi kwa kutuita panya na kumuonea Lema Mbunge tuliomchagua bila sababu za msingi?

Kwa madai yako kuwa yupo mratibu Wa kukusanya vijana ktk maeneo yote uliyoyataja,mbona sikuona gari ya matangazo ikitangaza? Ninacho amini na kinachoonekana kwa macho ni kuwa wananchi wanafuatilia tarehe za kesi ya mbunge wao ndio maana wanaishia mahakamani sababu walitoka majumbani mwao kwa sababu hiyo hiyo na Kama pana kufungua matawi nnadhani huwa anawaambia tu hapo hapo maeneo ya mahakama(nje).

Tunaijenga nchi moja Tanzania tusiukubali uovu uonevu wowote.
 
Heshima kwako Chogo Matata.

Mkuu kuna watu wako tayari kutetea ujinga mradi ujinga huo uwe umefanywa na mtu wanayedhani ni shujaa wao.

Nimeongea mara nyingi bahati mbaya sijui sieleweki au lugha niitumiayo imejaa ukakasi.Nilisema na nitaendelea kusema bila kujali nitaeleweka vipi Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini.

Kachaguliwa kwa kura nyingi au kwa maneno rahisi kura zake zilitosha kabisa lakini Mheshimiwa Lema badala ya kuwatumikia wapiga kura wake amelifanya jimbo la Arusha mjini eneo la harakati kwa kuwatumia vijana wasiokuwa na ajira katika harakati zake.

Mheshimiwa Godbless Lema kashtakiwa mahakama kuu mjini Arusha badala ya kupamabana na kesi amekuwa akihamasisha vijana wa vijiweni wasiokuwa na ajira na wanye ajira zisizo rasmi kumsindikiza mahakamani.

Eneo la mahakama kuu mjini Arusha ni dogo sana kuhimili wingi wa washabiki wake.Nia na madhumuni ya Mheshimiwa Lema ni kutumia kesi ya kupinga ubunge wake kama sehemu ya kampeni kwakuwa anajua mwisho wa kesi ni nini.

Niseme bila kutafuna maneno Mheshimiwa Lema kafanikiwa sana kuwavuta wasiokuwa na akili na wasiojua kwamba kuwepo kwao mahakamani hakutasaidia lolote kama wakili wa Lema atashindwa kumwakilisha mteja wake vyema.

Ukodishaji wa pikipiki zilizotundikwa bendera za chama maana yake nini au ni sehemu ya utetezi wa Mheshimiwa Lema ? Ukusanyaji wa vijana wahuni ambao mara zote wanasababisha msongamano usio wa lazima kila kesi inapohairishwa maana yake nini ?

Mabishano ya kisheria baina ya mawakili wa pande zote kila kesi inapotajwa inamlazimu Lema kutoa ufafanuzi wa kisheria kwa wapambe wake,Tangu lini Lema kasoma sheria,Je huku si kuingilia uhuru wa mahakama ?

Nilisema kabla mkusanyiko ni mkubwa Lema na wapambe wake wanajua hilo lakini kwa maksudi ya wazi wanaamua kuyaacha magari yao wanaamua kutembea kwa miguu umbali wa zaidi ya kilometa tatu/nne wakisindikizwa kwa nyimbo za kejeli kwa mlalamikaji na pikipiki je hii ni sawa.

Mi nadhani wewe umedandia gari kwa nyuma. Hivi nani kafungua kesi? Lema au CCM? Kwa nini usiwashauri hao waliofungua kesi kuifuta ili kumpa mbunge Lema kufanya kazi na wananchi wake?

We unadhani anapenda hiyo kesi? hana maslahi na kesi hiyo, bali CCM wana maslahi, ndo maana wanamng'ang'ania ili asiwatumikie wananchi wake. Na jeshi letu la polisi kupitia kwa OCD mlevi wa madaraka ameingia katika fedheha hiyo ya CCM kitu ambacho ni kinyume na sheria zilizopo. Shame on you kwa kudandia
 
Mkuu Ciril mifano yako na mifano ya Lema ni vitu viwili tofauti.Nakubali kweli kuna wakati polisi wanakiuka misingi ya kazi zao lakini katika suala la Lema Polisi wako right kabisa.

tuweke wazi wako right katika lipi?
 
Mimi nipo Arusha nnafanya biashara maeneo ya stand ndogo,pia nnafanya biashara ya kusafirisha raia hapa mkoani Arusha.Nnakubaliana na Lema juu ya uonevu huu Wa polisi kwake Kama ilivyowahi kutokea kwangu mimi na R.T.O Wa hapa kuniweka ndani kisa nimemuuliza"kwa nini umuweke dereva wangu ndani kwa kosa la wrong parking pekee wakati tunajua adhabu yake ni notification na Kama hukurudhika uende mahakamani"lakini jukumu alilolichukua ni kuniweka ndani bila mimi kutoa maelezo.Hivi huwezi kuona huu ni ukiukwaji mkubwa wa sheria?
Kama huyu R.T.O aliniweka ndani mimi na dereva wangu bila maelezo vipi nisiamini kamanda Zuberi anatumika vibaya kwa kuwakomoa wananchi kwa kutuita panya na kumuonea Lema Mbunge tuliomchagua bila sababu za msingi? Kwa madai yako kuwa yupo mratibu Wa kukusanya vijana ktk maeneo yote uliyoyataja,mbona sikuona gari ya matangazo ikitangaza?

Ninachoamini na kinachoonekana kwa macho ni kuwa wananchi wanafuatilia tarehe za kesi ya mbunge wao ndio maana wanaishia mahakamani sababu walitoka majumbani mwao kwa sababu hiyo hiyo na Kama pana kufungua matawi nnadhani huwa anawaambia tu hapo hapo maeneo ya mahakama(nje).Tunaijenga nchi moja Tanzania tusiukubali uovu uonevu wowote.

bora wewe uko Arusha na umetujuza. Tatizo la polisi wanataka kuonekana MIUNGU. Hawataki challenges na wengi wao wanaamini kuitetea CCM kuna uhusiano na kupandishwa cheo. Na hii kwa sasa ni ukweli, viongozi wengi walioharibu uchaguzi, wamepandishwa vyeo na wale waliosimamia haki ama wamestafishwa au wamehamishwa na kupelekwa kwingine kabisa.

Viongozi hawa wa umma wasisahau jambo moja kuwa, nchi yetu ni ya democrasia, ipo siku hujuma zao hazitozaa matunda, wananchi watachagua chama mbadala. Iwapo walioteswa na maamuzi yao wakisema walipize watasalimika? Ni bora mtumishi wa umma ukabaki kusimamia sheria bila kupendelea. Kauli ya Zuberi kuwaita wananchi PANYA haiashirii weledi wake katika kazi aliyopewa kuwatumikia umma ba kauli ya kusema hadharani "lazima kesi hii ikutie kidole" inaashiria UTAHIRA wake. Ipo siku ataambuka
 
Hivi kweli watu 5,600 Lema anataka waende mahakamani wakafanyaje? kweli hizi akili za kunguru sijawai kuona toka nianze kufuatilia kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa mbunge sijawai kusikia mbunge akiwataka waliompigia kura waende mahakamani..

yaani watu waache kazi zao wakashinde mahakamani, anajuaje kama wote waliompigia kura ni Chadema?

Ritz1 wacha UJINGA ndugu yangu. Wapi amewaalika waende kusikiliza kesi? Narudia tena, Lema kachaguliwa na watu. Iwapo watu hao just 10% wakiamua kwenda kusikiliza kesi kwa hiari yao, takribani 5,600 wanaweza kuwepo mahakamani. Tuache hao, tuseme 1% ya waliomchagua wahudhurie kwa ridhaa yao wenyewe takribani watu 560 watakuwepo mahakamani. sasa wakimaliza kusikiliza kesi hiyo, wakiwa wanarejea majumbani mwao wataitwa wanaandamana au wanarudi makwao? Jibu hilo swali
 
Mkuu Ritz unajua kuna wakati wanaukumbi wanakunywa viroba halafu wanakimbilia keyboard.

Comrade Ngongo,

Wakati mwingine unashindwa kuelewa hivi Arusha vijana wake wana upeo kiasi gani..

Utadhani makinda ya bata yanafuata mama yao popote anapokwenda hata kama barabarani..

Na kitu kingine nilichogundua vijana wengi Arusha hawana kazi wanashinda kwenye vijiwe tu
 
Lema hajaita mtu, na wanaoenda ni walompigia kura bila kujali tofauti zao. Na mashahidi ni wapiga kura wenyewe walokuwepo kwenye hiyo mikutano ya kampeni anayoshutumiwa lema kuwatukana hao greens. Sasa watamteteaje kama hawajui muendelezo wa kesi kaka?

Kuhusu hayo maandamano ni hivi..

1. Watu walokuwa mahakamani walikuwa wengi sasa saa ya kutoka lazima waonekana mafungu (ikaonekana ni maandamano.)
2. Walokuwa mahakamani wasingeweza kusubiriana atoke mmoja mmoja. Ingewachukua siku nzima au mbili mpaka waishe mahakamani.
3. Kutoka mahakamani mpaka ofisi ya Lema sio mbali hivyo, so Lema aliamua kutembea kwa mguu (yuko huru ni jimbo lake). Kumbuka kuna kina mama wanatembea kilometres wakitafuta maji na dispensary, so hakuna ubaya mbunge kutembea kidgo.
4. Barabara alopita Lema kuelekea ofisi ndio exit road toka mahakamani, hata wewe ungekuwepo ungepita hapo hapo kaka.
5. Ukipita au kukutana barabara moja na mtu unaempenda au ulemchagua haunyimwi kumsabahi au kumshangilia.

Kwa hayo machahce nilowaza kwa upeo wangu mdogo na mnaouita wa "mvuta bangi" bado polisi hawana grounds yeyote wa ku-rule out kuwa kulikuwako maandamano.

Pia Ofisini Kwa Lema ni ofisi ya wanajimbo walomchagua Lema so
1. Wana ruhusa wa kufika pale muda wowote wa kazi kukutana na mbunge wao
2. Lema kama mwenye ofisi ana uwezo wa kualika mgeni yeyote haswa waajiri wake (wapiga kura wake)
Kwa hayo machache pia Polisi hawana uwezo wa ku-rule out kuwa kaalika watu kwa njama.

Kama wafuasi na wote walofika mahakamani hawakuwa hata na fimbo wala viwembe mifukoni, basi walikuja kwa AMANi kushiriki haki yao ya kikatiba. Sioni ground yeyote ambayo polisi ina ruhusa ya kuwanyima haki yao, zaidi wangetakiwa kuwalinda mpaka shauri liishe lakini cha ajabu polisi ndio walikuwa na silaha ready to kill or surpress wananchi. Nani mkorofi hapo?

Kuhusu kuwaita wafuasi kuwa nii wakaa vijiweni.

1. Ni kweli wengi wetu nikiwamo mimi ni wa vijiweni (hustahili kutukumbusha)
2. Tungekuwa wapi pengine? Tungelala home?
3. Tungekuwa shamba lakini mbolea za ruzuku na pembejeo ndio mnalipwa nazo ninyi mnaotutusi leo. Mashambammewapa maswahiba wenu wazungu na viongozi. Unafahamu ya morogoro.
4. Vijiweni atleast tunajadili ya msingi na kupeana deal japo ndogo. Inatusaidia kununa sukari(2300tshs) na chumvi tunarudisha home kwa wazee wetu walotesekea ilokuwa EAC lakini now mnawatukana.
5. Kijiweni ninapopiga viatu rangi na elimu yangu ndio panaponiwezesha kumsomesha mdogo wangu na kumtibu bibi. Wakati ninyi na ndugu zenu mnasoma nje au ndani kwa mkopo 100% na kutibiwa nje au ndani kwa priviledges.

Vijiwe ni vingi kuliko ofisi na ndio vinatulisha. Je hali ikibadilika ukarudi kijiweni utafurahi nikikutenga na kukudharau eti kisa wewe uko kijiweni? Mtu ni Utu.


Kwa niaba ya wapenda maendeleo wote nawasilisha
Mwenye masikio amesikia lakini sample ya akina Ritz1, Rejao ingawa sijamwona leo labda anaumwa, Mzee, Ngongo na wengine hawatakuelewa. Inauma sana, inasikitisha sana, inasononesha sana ukitafakari uonevu wa namna hii. Unyonge wetu ndio uliotufikisha hapa kwa kisingizio cha kuhifadhi utulivu wetu. Ni utulivu huo uliotusababishia kuwepo kwa viongozi wa umma ambao wanafanya kazi za chama cha CCM. Siku tukivunja ukimya, Im sure we shall make it
 
Mheshimiwa huyo OCD asikubabaishe tunasonga mbele wafanye wafanyavyo iyo ni trela wasubiri 2015 waone picha
 
Back
Top Bottom