Taarifa kwa Umma Kuhusu Mgomo wa Madaktari - CHADEMA

Chadema kwa vile MAT hawajaomba msaada wenu msitake kujiingiza kwa jambo hili ambalo ni la kitaaluma na Wanataaluma! Mna mambo mengi ya siasa na msiwe mda wote watu wa kurukia hoja zisizo wahusu! Najua udenda una watoka sana mlitamani muwe kwenye sakata hili ila jambo hili ni la Kitaaluma zaidi! Vyama na wanasiasa watapita lakini taalum zitaendelea kuwepo! Hapa sio mahali pa porojo na Matamko ya kukuza sifa za viongozi wenu mara Slaa/Mbowe hawa waende kwenye majukwaa ya siasa na sio hili la mgomo wa Madaktari! Hata hivyo mmeandamana sana CDM wananchi wana wajua ebu acheni hili Wana taaluma nao waoneshe uchungu wao wa kupigania haki zao hawataki mawakala/makuadi wa kupigania haki kama ninyi CDM mnavyotaka kudandia hoja kwa mbele!
 
Watu kukosa huduma, kupoteza maisha na kuwa bila tiba ndio mnaona mafanikio? Ingekuwa dini yangu inaniruhusu kuwalaani basi nisingesita kuwaaambia madaktari waliogoma wamelaaniwa. Mlitaka nini zaidi ya Waziri Mkuu kuwaita na kuwasikiliza? na mkamdharau? Kama si laana hiyo ni nini? kama si kufungamana na siasa chafu ni nini? msijidai kujivuwa lawama baada yakuona maji yako shingoni.

Mafanikio ninayomaanisha mimi ni kuboreshwa kwa mishahara na marupurupu ya madaktari, mazingira ya kufanyia kazi, na mifumo bora ya kutolea huduma za afya kwenye hospitali za umma...huwezi ona hilo kwa upeo wako wa 'kijungu-jiko'!


Laana zako ni sawa na dua ya kuku...haimpati kipanga atii! Utakufa na jiba lako la roho..ukiaacha taaluma ya afya ikiboreka siku baada ya siku!


Maji ya shingo yako kwa nani....daktari ama serikali hii legevu iliyotayari kupigia magoti maCameruni?
 
msumari wangu nazidi kuugonga tu kwa kusema hivi: MGOMO HUU NI HALALI'' WAGOME KABISA
 
Faiza foxx nimekwambia vua hilo vazi kwani unawahaibisha wenye imani hiyo......unalo ndugu limekuganda vipi ccm wanasifika kwa kuwatumia hasa wanawake then ata km ulikua timamu ukisha.......... Tu akili yako slowly anabadilika nakuwa ya masaburi km wewe.....cant assess urself kwanini hoja zako zinapingwa ata na magamba wenzako?
 
Msamaha na kusainiwa umesainiwa unasema haujaombwa? ustake ncheke! nakwambia safari hii ndio mmeula. Kama hamumjui Pinda safari hii ndio mtamjuwa ni nani yule. Umemuona sura yake? kama ndio, basi jibu unalo.
FF, uanatania au!??

 
Nasema Serikali iwahukumu wote kwa makosa ya jinai kwa kukosa kuripoti na kutoa huduma. Msiokuwa na haya wala msiojuwa vibaya.

Hii nchi ingekuwa ya baba'ako ikiendeshwa kwa matakwa ya binti yake mpendwa laaabda utakayo yangetimia...lakini nchi hii ni yetu sote na inaendeshwa kwa misingi iliyoundwa kwa katiba, na inafuata sheria...tangu lini kukosa kuripoti kutoa huduma kukawa jinai?!

Again, Dua la kuku....
 
Safi sana Chadema kwa tamko kama kamba rasmi ya upinzani hapa Tanzania,serikali legelege ya CCM ndiyo hiyo hiyo huwa inamaamuzi legelege na dhaifu na kuacha watu wake wakifa wakati wao kila kukicha ni kwenda nje ya nchi kufanya anasa na kufisadi mali za watanzania.
 
Hakukuwa na kusitasita....bali MAT, Kamati ya kuratibu mgomo, pamoja na wagomaji wenyewe (maDaktari) hawakutaka mgomo huo uhusishwe na chama chochote cha siasa, bali mgomo huru wa wanataaluma ya afya usiofungamana na itikadi yoyote ya siasa wala imani yoyote ya kidini! Na kwa mafanikio ya mgomo huo, tunaomba iendelee hivyo...

Ni lengo zuri but madaktari wanatakiwa kuonganisha nguvu na makundi mbalimbali ya kijamii ili kuishinikiza serkali kutimiza malipo ya madaktari.
 
Msamaha na kusainiwa umesainiwa unasema haujaombwa? ustake ncheke! nakwambia safari hii ndio mmeula. Kama hamumjui Pinda safari hii ndio mtamjuwa ni nani yule. Umemuona sura yake? kama ndio, basi jibu unalo.

Waambie waweke copy public kama wanayo kwa daktari yeyote aliomba msamaha mwaka 2005/2006! Ni serikali ilitoa yenyewe msamaha kwa maDaktari baada ya maDaktari kufungua kesi mahakama kuu wakiwakilishwa na kamanda Tundu Antipas Lissu, na serikali kuona upepo wa kesi hauwaendei vizuri (kupitia wakili wao Luena)...ndio wakajifanya wanasamehe ila kesi ifutwe.

Tafuta magazeti usome, historia ipo...iliandikwa!

We cheka tuu....Pinda ni mtu wa kumcheka kwa jinsi alivyochemka kwa hili, and so are his rats here at JF!
 
Watu kukosa huduma, kupoteza maisha na kuwa bila tiba ndio mnaona mafanikio? Ingekuwa dini yangu inaniruhusu kuwalaani basi nisingesita kuwaaambia madaktari waliogoma wamelaaniwa. Mlitaka nini zaidi ya Waziri Mkuu kuwaita na kuwasikiliza? na mkamdharau? Kama si laana hiyo ni nini? kama si kufungamana na siasa chafu ni nini? msijidai kujivuwa lawama baada yakuona maji yako shingoni.

Hamna haya wala hamjui vibaya, akili na matumbo yenu yako kwenye kula tu, na mtakuwa na uchu na njaa maisha yenu hata muwe mmeshiba vipi, vile vihela mnavyolazimisha kuhongwa na wagonjwa haviwatoshi? kuachiwa kufanya kazi za binafsi kwenye mahospitali na vituo vya afya vya binafsi hakuwatoshi? Wacheni kuona Watanzania wote ni wajinga.

Nasema Serikali iwahukumu wote kwa makosa ya jinai kwa kukosa kuripoti na kutoa huduma. Msiokuwa na haya wala msiojuwa vibaya.
Bibie,
Hizo laana ungezielekeza kwa serikali ya Kikwete na Pinda. Wenyewe wanajiongezea posho kinyemela bila kujali kuwa madaktari wanafanya kazi katika hali ngumu sana. Wenyewe wakiugua wao na ndugu zao wanakimbilia Ulaya na India. Huko ndiko unakopaswa kuelekeza laana zako, na mimi nitaungana nawe.
 
Mnapokuwa na Serikali inayowasikiliza mnaiona regerege, inapowala marungu mnapoanza migomo, mnalalamika Serikali makatili. Hamjulikani mkitakacho lakini madaraka kwa sasa hakuna, wananchi walio wengi hawawataki, kuanzia udiwani, ubunge na mpaka Urais, mliowapata ni haohao ndio kikomo chenu na wanajulikana ni kina nani. Na hatudanganyiki.
Bibie,
Mbona hueleweki? Punguza povu
 
I think Wagomaji wamefanya vema; ila kambi ya upinzani na yenyewe ichukue hayo (sio lazima iwe oficial statement) kuendelea mbele. Mhimu kila mmoja atimize wajibu maana Pinda jana angesema ni mgomo wa chadema maani ndio kimekuwa kisingizio chao mara kwa mara
 
mm naamini endapo CDM wangepewa madai hayo, wangepeleka kama hoja binafsi bungeni na kuishauri serikali.. Shida ni moja serikali haiko tayari kukubali madai ya madaktari na madaktari hawako tayari kukubali porojo za serikali, je unafikiria nani ataumia, kama sio mimi na wewe na mwananchi asiye na ndugu ambaye ni daktari
 
Waambie waweke copy public kama wanayo kwa daktari yeyote aliomba msamaha mwaka 2005/2006! Ni serikali ilitoa yenyewe msamaha kwa maDaktari baada ya maDaktari kufungua kesi mahakama kuu wakiwakilishwa na kamanda Tundu Antipas Lissu, na serikali kuona upepo wa kesi hauwaendei vizuri (kupitia wakili wao Luena)...ndio wakajifanya wanasamehe ila kesi ifutwe.

Tafuta magazeti usome, historia ipo...iliandikwa!

We cheka tuu....Pinda ni mtu wa kumcheka kwa jinsi alivyochemka kwa hili, and so are his rats here at JF!
Mkuu, mwambie huyo kiboboru hajui chochote!!!
 
hivi kweli tusubiri hadi kesho kambi rasmi ya upinzani ianze kuliongelea suala hilo bungeni, suluhisho litakuja lini? kwa nini wasiongee na serikali now kuishauri nini cha kufanya badala ya kufanya siasa mgomo wa wanataaluma
 
Kama chama cha siasa chenye kujali wanyonge kwa vitendo chadema wanayohaki ya kufuatilia kila ambalo haliendi sawa kutokana na udhaifu wa serikali CCM.Pia chadema kwa nafasi yake kama chama kinachounda kambi rasmi ya upinzani bungeni kinawajibika kufuatilia ishu zote za kisekta ili ziende bungeni kupitia mawaziri wake vivuli ili kureinforce changes or improvement.Mambo mengi ambayo MAT wanadai ni ya sera na kisheria.Kubadilisha ni lazima bunge lihusike na hamna ambaye atabisha kuwa ni lazima kambi rasmi ihusike kwa kiasi kikubwa.Pengine madk wanasita kwa kuogopa propaganda kuwa wanachochewa na cdm!Ingekuwa ni vema wangewapa hayo wanayoyapigania ili cdm iyafanyie upembuzi na kuona ni kwa vipi wanaweza kuyaundia hoja ndani ya bunge.Kusema tu kuwa hili suala wanasiasa wasiliingilie kwa kuwa sio la kisiasa ni kujiwekea limitations.Ni kwa siasa mbovu za CCM ndiyo maana neno siasa watu linawakera.Hata hapa JF habari za mgomo wa madaktari zipo jukwaa la siasa! Sioni ni kwanini chadema isitimize wajibu wake katika hili.
 
Chadema kwa vile MAT hawajaomba msaada wenu msitake kujiingiza kwa jambo hili ambalo ni la kitaaluma na Wanataaluma! Mna mambo mengi ya siasa na msiwe mda wote watu wa kurukia hoja zisizo wahusu! Najua udenda una watoka sana mlitamani muwe kwenye sakata hili ila jambo hili ni la Kitaaluma zaidi!

Mlengo wa Kati, kazi ya chama chochote cha upinzani ni kukosoa/kuianika serikali pale inapokosea, kutetea maslahi wa wananchi wake etc. So kusema CDM wasijihusishe na hii issue nafikiri si sahihi. Chama cha upinzani kinajihusisha na issue zozote zile zinazogusa wananchi au nchi kwa ujumla. However, madaktari ndio wanatakiwa wafanye maamuzi sahihi; and so far naona wamefanya vizuri kutokupeleka madai yao CDM kwani, wao ombi lao halinamahusiano na siasa. Vile vile serikali haitakiwi kulalamika ooh upinzani/CDM wamefanya hivi au vile; hii ni kuonyesha wameshindwa kutatua tatizo. Inachotakiwa ni serikali ku-handle business zake correctly (na madaktari/wananchi kwa ujumla) ili ku-maintain credibility. Kwakufanya hivyo watawakosesha au watawapunguzia wapinzani issues zaku-attack).
On a different note; kinachonishangaza wengi wetu tuna-argue serikali ni mwajiri wa madaktari (which is true). Lakini tunaishia hapo tu; mbona hatujiulizi na je hiyo serikali nani imewaajiri? Serikali inapoonyesha kutokujali mwajiri wake mbona haiwajibishwi? Ninavyojua mimi wananchi ndio wameiajiri serikali, na wananchi hao hao ndio wanaokufa au kuwa affected zaidi pale daktari, nesi, walimu, wafanyakazi wa umma wanapogoma. Wanaokosa huduma muhimu ya afya kwasasa ni wananchi ambao ndio wameiajiri serikali. Mimi najiuliza hao wananchi ambao wameiajiri hii serikali wako wapi? Ukimuajiri mtu kwako ni lazima afanye kazi aliyoajiriwa kufanya; wewe kama muajiri unataka uone outcome fulani e.g. huduma bora za afya, na sio kuja kuniambia mtu uliyekuwa unategemea kufanya naye kazi hakuja kazini; au umeshindwa kumlipa or anything of that nature. Na hii ni exactly what Pinda and his people are doing. Huu mchezo wa kuja kwenye vyombo vya habari nakushtaki nashindwa kuuelewa kabisa. Kama kweli kuna madaktari sijui wa jeshi sijui Cuba waliopo available then why not use them temporarily mpaka mtakapofikia muafaka. Ivi kweli serikali inataka tuamini ina hela zakuwalipa madaktari kutoka jeshini, Cuba lakini haina pesa za kuwalipa hao waliopo. This nonsense needs to stop.Tunachotaka ni huduma bora za afya. Serikali iliyoajiriwa na wananchi, na madaktari walioajiriwa na serikali wanachangamoto yakutupa sisi wananchi outcome tunayotaka. Lakini kwavile wananchi wengi bado tumelala/hatujitambui obviously outcome itakuwa zero kama inavyojionyesha sasa.
 
Back
Top Bottom