Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Na bado nitagombea uenyekiti wa BAVICHA
Mbwembwe za chadema uchaguzi 2010..poleni..
Baada ya uchaguzi mlete madiwani wangapi? (sehemu zipi) wabunge wangapi (sehemu zipi)..rais sahau muuza pombe na padre hawawezi kuongoza nchi ya watu wenye akili Tanzania poleni...
[/B]
Kuwa kwenye nini
chadema imejaa ukabila huo ndiyo ukweli,
Tazama viti maalum ,uongozi nk
Ni chama chenye malengo safi lakini hilo kwao/kwenu ni DOA
Kama JF haiwakilishi watanzania wewe unafanya nini humu.Wewe ndio unaleta Uchaga hapa, wengine tunaongelea utendaji wa viongozi, wewe unaleta mambo ya Uchaga.
Huyo Mwenyekiti wenu, angelikuwa kocha angeshafukuzwa siku nyingi.
Tatizo lenu mnafikiri JF ndio inawakilisha Watanzania, ikija mwezi wa kumi kipigo, na mnaanza kulialia, kumbe tatizo lenu ni kocha mbovu.
Uongozi gani wa kuahirisha uchaguzi wa vijana na kuweka vibaraka wa Mbowe kwenye madaraka?
Thank you Bye!!!!Mbwembwe za chadema uchaguzi 2010..poleni..
Baada ya uchaguzi mlete madiwani wangapi? (sehemu zipi) wabunge wangapi (sehemu zipi)..rais sahau muuza pombe na padre hawawezi kuongoza nchi ya watu wenye akili Tanzania poleni...
Mbwembwe za chadema uchaguzi 2010..poleni..
Baada ya uchaguzi mlete madiwani wangapi? (sehemu zipi) wabunge wangapi (sehemu zipi)..rais sahau muuza pombe na padre hawawezi kuongoza nchi ya watu wenye akili Tanzania poleni...
Niyarudia kusema kwamba ktk muda wa miezi mitano niliyokaa Tanzania nimegundua kuna Wajinga wengi sana....bado wanaabudu na kwa Uadilifu mkubwa Kutawaliwa. Hawafahamu tofauti baina ya Kuongozwa na Kutawaliwa, kwao bora kunakucha..
Wajinga ni wengi sana na itachukua nguvu ya utume kuondosha ULIMBUKENI....
politics its not about what you learn in class,it is beyond ones passion to see a better future over a situation at hand.rafiki unahitaji msasa wa nguvu kuelewa mambo........when it comes to expert issues ndo maana tunawatu wanaitwa washauri wa raisi n.k.....KUFELI MASOMO SIO KUFELI MAISHA,WW MWENZETU UMEFAULU HADI CHUO KIKUU,WHAT DO YOU HAVE??UMEFANIKIWA KUFICHUA MANGAPI YA YANAYOIUMIZA NCHI??</B>Chama cha mbumbumbu: M/kiti Mbowe Kafeli masomo O-Level
Katibu: Mchungaji Slaa, kapata cheti kwa kusoma kitabu cha Nabii Paul, Mazumbukuku wanashabikia mpaka Minute za vikao, Chadema nikichekeshooooo !!!
Mjanja anaficha upumbavu wake, Mkuu Bull wewe umeshindwa kuuficha.Chama cha mbumbumbu: M/kiti Mbowe Kafeli masomo O-Level
Katibu: Mchungaji Slaa, kapata cheti kwa kusoma kitabu cha Nabii Paul, Mazumbukuku wanashabikia mpaka Minute za vikao, Chadema nikichekeshooooo !!!