Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Kuna taarifa kuwa mgombea wa CCM jimbo la bukombe yuko kwenye kashfa kubwa ya kuuza kinyemela eneo la pori la bukombe ambalo linasemekana lina akiba ya dhahabu nyingi kuzidi hata mgodi wa Buzwagi.Taarifa zinasema alishiriki kuuza kinyemela kwa mmoja wa MAFISADI waliotajwa na Dr.Slaa ambaye ni RA .Kwa sasa Luhahula anahaha kulikomboa jimbo ili kashfa isitoke na kumuumbua.Tayari shs.600million zimemwagwa bukombe kwa lengo la kununua mawakala.Na taarifa hizi anazo mgombea wa chadema Prof.Kahigi.Ila taarifa za kutia matumaini ni kwamba wanachi wamesikia na wako ngangari kwa mabadiliko.
Habari hizi zimezagaa sana pale bukombe, tushirikiane kutafuta ukweli zaidi.
Habari hizi zimezagaa sana pale bukombe, tushirikiane kutafuta ukweli zaidi.