Huyu ndiyo mrithi wa Regia Mtema?
waulliza au wajibu!kajipange
Huyu ndiyo mrithi wa Regia Mtema?
he!.....................kumbe Dr. slaa alishakuwa mgombea urais wa kudumu wa chadema??.................. mie sikulijua hili!!.................. mnarudia yaleyaleee...................
halafu si vyema chama kuwa na dharau namna hii..................... nani kasema ubunge ni kazi ndogo na duni sana kiasi ambacho ni aibu mtu kama slaa kuifanya??................... kwa hiyo slaa sasa ni superior kwa wabunge wote?................. hivi mnajua kuwa hata rais kibaki na odinga wa kenya ni wabunge mpaka sasa?................ so slaa yuko kwenye viwango vya juu hata ya kibaki na raila??................... hebu acheni kudharau kazi ya ubunge na wabunge wetu................. tumhwshimu kila mtu na kazi aifanyayo kwa maslahi ya taifa tafadhari...............
mtaharibu chama chenu sasa na hii kasi ya kumjibu kila mtu chochote asemacho....................... mingine ni mitego tu, msiwe mnajibu.................. ni ushauri tu wakuu.......................
yes 100%
JF imekuharibu wewe kijana Tumaini Makene! ****** unaongelewa kwenye jukwaa hili si wa kupelekwa nje officially! Yaani taarifa yako imekuwa kama MCHANGO kwenye THREAD ya JF!
Sikuona umuhimu wa CDM kumjibu Nepi. Haina maana,wangempotezea.
Ikumbukwe kuwa Mbowe alisema ni Ruksa Dokta Slaa kungombea kama akiamua. Lakini taarifa hii ya Tumaini inapingana na statement ya M/kiti. Tafadhali CDM msituchanganye!
Ikumbukwe kuwa Mbowe alisema ni Ruksa Dokta Slaa kungombea kama akiamua. Lakini taarifa hii ya Tumaini inapingana na statement ya M/kiti. Tafadhali CDM msituchanganye!
he!.....................kumbe Dr. slaa alishakuwa mgombea urais wa kudumu wa chadema??.................. mie sikulijua hili!!.................. mnarudia yaleyaleee...................
halafu si vyema chama kuwa na dharau namna hii..................... nani kasema ubunge ni kazi ndogo na duni sana kiasi ambacho ni aibu mtu kama slaa kuifanya??................... kwa hiyo slaa sasa ni superior kwa wabunge wote?................. hivi mnajua kuwa hata rais kibaki na odinga wa kenya ni wabunge mpaka sasa?................ so slaa yuko kwenye viwango vya juu hata ya kibaki na raila??................... hebu acheni kudharau kazi ya ubunge na wabunge wetu................. tumhwshimu kila mtu na kazi aifanyayo kwa maslahi ya taifa tafadhari...............
mtaharibu chama chenu sasa na hii kasi ya kumjibu kila mtu chochote asemacho....................... mingine ni mitego tu, msiwe mnajibu.................. ni ushauri tu wakuu.......................