TAARIFA juu ya maombi ya CCM kuwa Dkt. Willibrod Slaa awanie ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki

he!.....................kumbe Dr. slaa alishakuwa mgombea urais wa kudumu wa chadema??.................. mie sikulijua hili!!.................. mnarudia yaleyaleee...................

halafu si vyema chama kuwa na dharau namna hii..................... nani kasema ubunge ni kazi ndogo na duni sana kiasi ambacho ni aibu mtu kama slaa kuifanya??................... kwa hiyo slaa sasa ni superior kwa wabunge wote?................. hivi mnajua kuwa hata rais kibaki na odinga wa kenya ni wabunge mpaka sasa?................ so slaa yuko kwenye viwango vya juu hata ya kibaki na raila??................... hebu acheni kudharau kazi ya ubunge na wabunge wetu................. tumhwshimu kila mtu na kazi aifanyayo kwa maslahi ya taifa tafadhari...............

mtaharibu chama chenu sasa na hii kasi ya kumjibu kila mtu chochote asemacho....................... mingine ni mitego tu, msiwe mnajibu.................. ni ushauri tu wakuu.......................

kitu kidogo posho e wachumia tumbo mna kaz
 
usiwe unapotea potea jf ndugu..baada ya dada yetu Regia r.i.p hatuna mtu wa kujuza mambo ya chama chetu kwa ukaribu.
 

Mkuu haikuwa taarifa ya kuipuuzia. Zipo zinaweza kupuuzwa. Vipi kama ingelipuuzwa, halafu baadhi ya wanachama wa CHADEMA huko Arumeru Mashariki wakaamini propaganda hiyo ya Nape, wakarudi nyuma na kushindwa kuchukua fomu za kuwania ubunge. Hatimaye chama kikashindwa kupata mgombea mzuri, kwa mikakati ya magamba...
 
Sheria za uchaguzi wa TZ ngazi ya Ubunge zinasema hivi""Msimamizi wa Uchaguzi akitangaza matokeo hayawezi zuia aliyetangazwa kuapishwa hata kama una hoja za msingi za kupinga ushindi wake isipokuwa nenda mahakamni kufungua kesi kudai haki yako irejeshwe""!

Dr Slaa ANGEGOMBEA Jimbo la Arumeru-Mashariki basi hata kama angeshinda kwa kura maelfu kwa ziro za CCM lkn msimamizi likely angemtangaza mgombea wa CCM kama mshindi ili kumuua Dr Slaa kisiasa mwaka 2015 kwa maelezo ya jukwaani kipindi hicho kama"alishindwa hata Ubunge Arumeru na mgombea laini wa CCM,je atauweza U-Rais?"

Hongera CHADEMA kwa kulijua hilo!Dr Slaa asubiri tu mwaka 2015 na azidi kukijenga chama!
 
JF imekuharibu wewe kijana Tumaini Makene! ****** unaongelewa kwenye jukwaa hili si wa kupelekwa nje officially! Yaani taarifa yako imekuwa kama MCHANGO kwenye THREAD ya JF!

Sijakuelewa kabisa kamanda. Nimerudia kusoma mara kadhaa, sielewi unachomaanisha mkuu kwenye hiyo sentensi yako
 
Sikuona umuhimu wa CDM kumjibu Nepi. Haina maana,wangempotezea.

Mkuu haikuwa taarifa ya kuipuuzia. Zipo zinaweza kupuuzwa. Vipi kama ingelipuuzwa, halafu baadhi ya wanachama wa CHADEMA huko Arumeru Mashariki wakaamini propaganda hiyo ya Nape, wakarudi nyuma na kushindwa kuchukua fomu za kuwania ubunge. Hatimaye chama kikashindwa kupata mgombea mzuri, kwa mikakati ya magamba...
 
Ikumbukwe kuwa Mbowe alisema ni Ruksa Dokta Slaa kungombea kama akiamua. Lakini taarifa hii ya Tumaini inapingana na statement ya M/kiti. Tafadhali CDM msituchanganye!

Kamanda wewe ndiyo unataka kujichanganya. Usipende kujichanganya mkuu! Soma kwa makini comments za Mwenyekiti Mbowe, soma propaganda ya CCM, kisha usome na hii taarifa, utaacha kujichanganya mwenyewe kaka au siyo. Wala taarifa hii haipingani na mwenyekiti hata kidogo. Fanya hivyo tujadiliane tukiwa well informed, inakuwa vyema sana. Ukisoma nusu nusu utaendelea kujichanganya isivyo halali.
 
safi sana cdm,tangu nliposikia mzaha wa nape eti slaa akagombee ili ashindwe vibaya ni utoto. nimependa maneno ya mrisho mpoto,anasema:mtoto akimwambia baba,iyo ndege ni yangu basi baba mwambie ikitua nitakupa,ila mtu mzima kumwambia mtu mzima maneno ya kitoto apo ndo kuna walakini,nape watanzania tuna tatzo na mizaha uifanyayo dhidi ya watu wazima wenzio. Ivi dr slaa alivokaa kujenga wabunge wa kutosha ni wa mchezo?tangu lini chama kikafanya maombi ili chama kingne kimteue mgombea?kuna hatari hata 2015
 
Hayo yalikuwa mawazo yake binafsi kichwa nazi wewe... Wewe unaamini kila analosema mtu eehh? Kwa sababu ni mwenyekiti tu? Mbona rais wenu kigeugeu JK a.k.a Mmkweree alisema 'mimi sio Mungu ninyeshe mvua mtera' wewe ulitafsiri vp usemi huu ukiulinganisha na ule uharo wake wa 'maisha bora kwa watanzania? Tua kabeji hilo kichwani kwako...

Ikumbukwe kuwa Mbowe alisema ni Ruksa Dokta Slaa kungombea kama akiamua. Lakini taarifa hii ya Tumaini inapingana na statement ya M/kiti. Tafadhali CDM msituchanganye!
 
Ni mbinu za CCM wantambua wazi kuwa DR slaa akigombea no mpinzani so wanatishia kuwa wanamuomba agombee kwa kuwatisha CHADEMA

CCM wanaogopa san SLaa akiamua kugombea ARUMERU ni wazi atapita kwa kishindo!
Tuwe wakweli!
 
Tumaini ile statement ya Nape ina implication flani ni vizuri mmejibu once for all! Hawatafikiria u.p.u.u.z.i huo tena!
 
he!.....................kumbe Dr. slaa alishakuwa mgombea urais wa kudumu wa chadema??.................. mie sikulijua hili!!.................. mnarudia yaleyaleee...................

halafu si vyema chama kuwa na dharau namna hii..................... nani kasema ubunge ni kazi ndogo na duni sana kiasi ambacho ni aibu mtu kama slaa kuifanya??................... kwa hiyo slaa sasa ni superior kwa wabunge wote?................. hivi mnajua kuwa hata rais kibaki na odinga wa kenya ni wabunge mpaka sasa?................ so slaa yuko kwenye viwango vya juu hata ya kibaki na raila??................... hebu acheni kudharau kazi ya ubunge na wabunge wetu................. tumhwshimu kila mtu na kazi aifanyayo kwa maslahi ya taifa tafadhari...............

mtaharibu chama chenu sasa na hii kasi ya kumjibu kila mtu chochote asemacho....................... mingine ni mitego tu, msiwe mnajibu.................. ni ushauri tu wakuu.......................

Read between the lines.
Mbona mnatumia nguvu nyingi kupambania hili swala la slaa kugombea ubunge??
Hakika jinamizi la CDM linaandama idadi kubwa ya wenye ombwe la uongozi huko maeneo maeneo.
Otherwise ukiwa unaandika humu JF itapendeza sana ukiandika kwa uandishi wa kawaida, hayo manukta unayoweka yanazidi ku-shake credibility ya uelewa wako.
 
Tuukubali ukweli. still Dr. Slaa atakuwa candidate wetu 2015. Mimi sio muumini wa democracy AFRICA. Sihitaji democracy kumteua Dr. Slaa. tunamuhitaji kumlinda kwa hali na mali. MIMI MWENYEWE NILISONONEKA SANA NILIPOSIKIA KWAMBA ATAGOMBEA UBUNGE ARUMERU! AHSANTE SANA KWA TAARIFA. MTAANI TULIKUWA TUMESHIKA ROHO.
 
wanajf bwn,eti ooh cdm wamesema ubunge kitu kidogo,ooh presidential material na maneno lukuki,Hivi hata kwa akili ya usiku huoni kuwa dr slaa badala ya yeye kukaa kuchuja nani agombee arumeru,yeye ndo asaini fomu ya mgombea,haiwezekana! Asante cdm kwa kuweka msimamo wa kuwachanganya wapuuzi!
 
Hii taarifa naona imekaa kimipasho zaidi, nadhani mtoa taarifa amekurupuka na ninapenda kuamini kuwa Dr. Silaa hajashirikishwa kabla ya kutoa hii taarifa.
 
Back
Top Bottom