Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,720
- 19,860
Mambo jaman jana tarehe 27 nimeenda kumtembelea rafiki yangu Tukaongea mengi mno ila mwishon akanieleza kuwa kuna jambo linasumbua kichwa chake.Jambo lenyewe lipo hivi.
Yeye ana rafiki yake ambaye anafanya nae kazi muda mwingi hupenda kutumia muda wa wiki end kunywa nae vileo haswa wine nyumbani kwake Ila cha ajabu kuna mtu kampigia simu akimueleza kuwa rafiki yako na mkeo amewaona kama mara mbili wakiingia Lodge ambayo mtoa taarifa yupo jiran nayo iliyopo huko Yombo Buza(nimeisahau jina kidogo) jamaa hakutaja jina lake na akasisitiza alifuatilie hilo jambo yupo serious na baada ya hapo jamaa kazima simu yaan hapatikan.
Sasa jamaa anataka alipuuzie ili jambo ila bado linazunguka kichwani mwake cha ajabu anajiuliza mbona muda mwingi huwa yupo na rafiki yake isipokuwa wiki 1 iliyopita alienda Singida ki kazi na kuwaacha hao watuhumiwa Dar,Kingine ni kuwa rafiki yake bado hajaoa ila anae mpenzi ila hawaishi nae.
SASA ALINIOMBA NIMSAIDIE AANZIE WAPI KULICHUNGUZA ILI JAMBO MAANA LINAZIDI KUCHUKUA NAFASI KUBWA KICHWAN MWAKE HADI KUPELEKEA KUPOTEZA MAPENZI NA WOTE YAAN MKE WAKE NA RAFIKI YAKE.
Yeye ana rafiki yake ambaye anafanya nae kazi muda mwingi hupenda kutumia muda wa wiki end kunywa nae vileo haswa wine nyumbani kwake Ila cha ajabu kuna mtu kampigia simu akimueleza kuwa rafiki yako na mkeo amewaona kama mara mbili wakiingia Lodge ambayo mtoa taarifa yupo jiran nayo iliyopo huko Yombo Buza(nimeisahau jina kidogo) jamaa hakutaja jina lake na akasisitiza alifuatilie hilo jambo yupo serious na baada ya hapo jamaa kazima simu yaan hapatikan.
Sasa jamaa anataka alipuuzie ili jambo ila bado linazunguka kichwani mwake cha ajabu anajiuliza mbona muda mwingi huwa yupo na rafiki yake isipokuwa wiki 1 iliyopita alienda Singida ki kazi na kuwaacha hao watuhumiwa Dar,Kingine ni kuwa rafiki yake bado hajaoa ila anae mpenzi ila hawaishi nae.
SASA ALINIOMBA NIMSAIDIE AANZIE WAPI KULICHUNGUZA ILI JAMBO MAANA LINAZIDI KUCHUKUA NAFASI KUBWA KICHWAN MWAKE HADI KUPELEKEA KUPOTEZA MAPENZI NA WOTE YAAN MKE WAKE NA RAFIKI YAKE.