Hiyo ndo shida ya mlio wengi. CDM wanaratibu mazishi ya Regia. Sasa mazishi ya huyu house girl nayo si wanaweza kuyamaliza? Au wewe unaonaje?Ukiitwa mchawi sijui utakataa? Chadema kazi kwao kwa sababu wanaunda roho za watu?
Poleni wafiwa
Sijapenda kauli yako ya kazi ipo kwa CDM, kifo hakina itikadi.Jamani house girl wa marehemu wa Regia naye amefariki dunia usiku huu... CDM kazi kwenu
Andika basi kieleweke............je ni kati ya majeruhi wa ajali au???!!
Halfu unavyoandika utafikiri unashabikia vile.............mhhhh!!!!! Kwenye vifo hakuna vyama,,,,,,,,,kila mmoja kinamsubiri.
Shida ni kuwa mtoa taarifa mnamkashifu. Najito kwenye kuwataarifu. Tafuteni wenyewe taarifa muhimuHuenda ni gamba ndo wana hivi vijitabia
Rip house care wa regia mtema. Mleta mada are you a human being?
Shida ni kuwa mtoa taarifa mnamkashifu. Najito kwenye kuwataarifu. Tafuteni wenyewe taarifa muhimu