Matusi si sehemu ya malezi niliyokulia, mauji si sehemu ya mikakati yetu ya kisiasa, Unaweza kusoma hapa: Tamko Kuhusu Yaliyojiri Katika Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Uliofanyika Kata ya Ndago Siku ya Jumamosi Tarehe 14 Julai 2012 kuhusu hayo masuala ya Iramba utapata ukweli.
Nadhani sasa nikubaliane na ushauri wa Aweda nitumie muda vizuri kujadili masuala ya taarifa ya kazi za maendeleo jimbo la Ubungo kama alivyoshauri.
JJ
mkuu mnyika naomba umpatie aweda kazi awe katibu wa mbunge naona anakuwakilisha vizuri sana apa.