Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
Tena usije kushangaa jamaa amepangiwa kufundisha kiswahili sasa hizo "cz" "bt" "so nilivyomtel" sipati picha!
Nadhani sasa hivi kwa wasiokuwa na uwezo wa kuwasomesha watoto wao shule binafsi wawafundishe wenyewe tu majumbani.
True mbona hata watoto tunawambia wawambie wazazi wao kuwa si tunazuga malipo ya kishenzi hatuwezi kujituma na kosa ni lao kuchagua serikali legelege