Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Habarini wana JF
Nina swali nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu hizi nyimbo za taarabu. Natanguliza samahani kwa ambaye atakwazika na swali hili.
Swali lenyewe ni hili: Kwa nini hizi nyimbo zinaimbwa na watu wa dini moja tu( Islam) ? Kwa nini hakuna waimbaji ambao ni christins? Ukizingantia kuwa huu ni mziki mkongwe sana!!!
Nina swali nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu hizi nyimbo za taarabu. Natanguliza samahani kwa ambaye atakwazika na swali hili.
Swali lenyewe ni hili: Kwa nini hizi nyimbo zinaimbwa na watu wa dini moja tu( Islam) ? Kwa nini hakuna waimbaji ambao ni christins? Ukizingantia kuwa huu ni mziki mkongwe sana!!!