Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Mbona haichezi mkuu!
Mhh!!!!!!!!! mambo haiko huko?Mkulu naona umetubipu tu.....taarabu haipo huku...haichezi mkuu!
Mkulu naona umetubipu tu.....taarabu haipo huku...haichezi mkuu!
Bora useme wewe maana vicheche hawakawii kudai wengine tunaongopa....
Wacha utani? Mbona hapa nilipo nazipata vema? Hebu kwenye nav-bar hapo juu kwenye bluu:Nimejaribu mkulu,kimya kabisa.Kulikoni?
Correcting wakuu, once we're done we'll keep you informed!Mkuu Hakuna kitu Hazufunguki Ng'ooooooooo
Wacha utani? Mbona hapa nilipo nazipata vema? Hebu kwenye nav-bar hapo juu kwenye bluu:
Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Injili | Taarab | Calendar
Jaribu kubonyeza Taarab, zikigoma tufahamishane ili tuweze kurekebisha basi.
Wacha utani? Mbona hapa nilipo nazipata vema? Hebu kwenye nav-bar hapo juu kwenye bluu:
Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Injili | Taarab | Calendar
Jaribu kubonyeza Taarab, zikigoma tufahamishane ili tuweze kurekebisha basi.
Great, kumradhi kwa usumbufu mlioupata, endelea kuburudika.Hata mimi najimwaga hapa