Elusive
JF-Expert Member
- Nov 26, 2008
- 223
- 4
Nakumbuka katikati ya mwaka jana 2008 barabara inayoanzia Kijitonyama science kupitia Rose Garden mpaka kwa Mwalimu Nyerere iliwekewa taa ambazo siyo tu zilipendezesha barabara ile lakini pia iliifanya iwe na usalama katika nyakati za usiku.
Lakini hivi sasa taa zile zimeondolewa katika nusu ya barabara, kutoka kwa Mwalimu Nyerere mpaka kwenye corner ya karibu na maflat ya NSSF.
Tunawaomba wahusika watufahamishe kwa nini wameondoa taa ambazo zilikwishazoeleka au eneo hilo halina umuhimu wa kuwekewa taa?
Lakini hivi sasa taa zile zimeondolewa katika nusu ya barabara, kutoka kwa Mwalimu Nyerere mpaka kwenye corner ya karibu na maflat ya NSSF.
Tunawaomba wahusika watufahamishe kwa nini wameondoa taa ambazo zilikwishazoeleka au eneo hilo halina umuhimu wa kuwekewa taa?