Taa Nesco katika picha

Columbus

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
2,002
648
Kutokana na mikasa inayolikuta taifa letu kwa sasa naomba kuwasilisha, hivi kweli mainjinia wa Taa Nesco wanaruhusu kitu hiki kufanyika? hivi hawa wanastahili kulipwa kwa kazi waliyokamilisha? mimi sio injinia naomba wenye proffessional zao wanijuze na wahusika warekebishe nchi nzima kabla hatujapatwa na mengine.
 

Attachments

  • Transformer.JPG
    Transformer.JPG
    29 KB · Views: 177
Kutokana na mikasa inayolikuta taifa letu kwa sasa naomba kuwasilisha, hivi kweli mainjinia wa Taa Nesco wanaruhusu kitu hiki kufanyika? hivi hawa wanastahili kulipwa kwa kazi waliyokamilisha? mimi sio injinia naomba wenye proffessional zao wanijuze na wahusika warekebishe nchi nzima kabla hatujapatwa na mengine.

Serikali itarekebisha mpaka Wafe Watu kibao uleeeeeeeeeeeeeeee
 
Haya ni mabomu mengine lakini serikali hailioni hili.....
Ipo siku yatasambaratisha watu ndo serikali itaamka usingizini...
 
Kutokana na mikasa inayolikuta taifa letu kwa sasa naomba kuwasilisha, hivi kweli mainjinia wa Taa Nesco wanaruhusu kitu hiki kufanyika? hivi hawa wanastahili kulipwa kwa kazi waliyokamilisha? mimi sio injinia naomba wenye proffessional zao wanijuze na wahusika warekebishe nchi nzima kabla hatujapatwa na mengine.

....yani sijui mpaka majanga yatokee!!!
 
hii kweli ni hatari, hv wahusika wanakuwa wanawaza nini kichwani mwao wakiona hali hii?
 
hii kweli ni hatari, hv wahusika wanakuwa wanawaza nini kichwani mwao wakiona hali hii?

Nimepata jibu ya hili " Haya ni matokeo ya ajira za kupeana ndio maana tija imeshuka nchi hii, wasimamizi wanashindwa kuwawajibisha jamaa zao, watoto wa rafiki zao" jamani hili nalo tulizingatie katika marekebisho ya katiba .Ndugunaizesheni inatumaliza nchi hii.
 
Transfoma ya mitaani inatushinda kuiweka sawa. Watu wanataka umeme wa nyuklia. Tutasalia kweli au ya Hiroshima? Bongo hiyo, kila kitu kibongobongo.
 
Back
Top Bottom