hope ni zaidi ya kikombe cha babusharti kubwa la t-shirts zile ni kuwa premium member(kwa mujibu wa maxence)!<br />
ni kama vile mkuu huyu aliamua kuwatambua marafiki zake waliojishughulisha kwa namna yoyote kuhakikisha kuwa jf inabaki hewani!<br />
sasa sitamhukumu mtu, kila mmoja wetu achanganye na zake...utu uzima dawa!
Sharti kubwa LA T-Shirts zile ni kuwa Premium Member(kwa mujibu wa Maxence)!
Ni kama vile Mkuu huyu aliamua kuwatambua marafiki zake waliojishughulisha kwa namna yoyote kuhakikisha kuwa JF inabaki hewani!
Sasa sitamhukumu mtu, kila mmoja wetu achanganye na zake...Utu Uzima Dawa!
No Maxence; jamii forum ni kwa wana jamii forums; huku kuchangai points isiwe kigezo cha kutubaguaga bana; kama kweli ni haya yanayosemwa hapa ndo kigezo cha kugawa tshirt then mie na hesabia ni ubaguzi
Mkuu MJ,No Maxence; jamii forum ni kwa wana jamii forums; huku kuchangai points isiwe kigezo cha kutubaguaga bana; kama kweli ni haya yanayosemwa hapa ndo kigezo cha kugawa tshirt then mie na hesabia ni ubaguzi
ngja nitume email huko
I am sure Max atahakikisha unapata tisheti yako mkuu:biggrin1:za jioni wana-jamvi.
just wondering where i can get JAMIIFORUMS T-SHIRTS. are they still in stock or not??
Nakushauri we nenda kwa hawa jamaa wanaotengeza T-shirt wape sample na order yako then subiri mzigo wako ila ninachofahamu hadi sasa kuna BOXERS kwa wanaume na BIKINI kwa Ladies tu.
Nakushauri we nenda kwa hawa jamaa wanaotengeza T-shirt wape sample na order yako then subiri mzigo wako ila ninachofahamu hadi sasa kuna BOXERS kwa wanaume na BIKINI kwa Ladies tu.
We Maskini Jeuri tuma msg kule uliko elekezwa na Preta, kule utapata majibu ya uhakika. Ubarikiwe.No Maxence; jamii forum ni kwa wana jamii forums; huku kuchangai points isiwe kigezo cha kutubaguaga bana; kama kweli ni haya yanayosemwa hapa ndo kigezo cha kugawa tshirt then mie na hesabia ni ubaguzi
Hizo zina nembo ya JF? Acha masihara!