:whoo:
Niwekewe Order ya tatu tafadhari.
Moja ya kwangu
Nyingine ya Wife
Nyingine ya Chalii wangu ambae ukinyoosha dola gumba tu anakunja uso, ukinyosha double finger anakupigia makofi
Nawashauri CDM wachapishe t-shirt zenye picha ya Dr Slaa na nembo ya flag ya Tz then ziuzwe na zivaliwe na wafuasi wa CDM ambao ni 64% kuonesha kuwa walimchagua.
Biashara si kupata pesa tu hata mbinu za kupata wanachama ni biashara.Iende kwenye jukwaa la biashara, siyo siasa hii ni business perse...
:whoo:
Niwekewe Order ya tatu tafadhari.
Moja ya kwangu
Nyingine ya Wife
Nyingine ya Chalii wangu ambae ukinyoosha dola gumba tu anakunja uso, ukinyosha double finger anakupigia makofi
Jambo la mbolea sana hilo nilipoona hii thread nimeifungua kwa spidi nikijua unanitaarifu zinapatikana mahali fulani. Anywa nadhan tangu ujiunge na JF leo ndio umetoa wazo la maana zaidi. Big up sana. Mimi ntahitaji tshir 8 moja ya kwangu nyingine za wadogo za na za wazee maana familia nzima tulipigia chadema. Ila nashauri ziwe zinye kiwango cha kutosha sio kama zile za CCM unavaa siku mbili zinachanika.kitu kingine nashauri watengeneze tshirt za round na zile zenye kora ila kuwapa watu uhuru wa kuchagua..pia wasisahau kuweka rangi ya bendera ya chadema na double fingers....Peopleeeeee's......powerrrr..
Nawashauri CDM wachapishe t-shirt zenye picha ya Dr Slaa na nembo ya flag ya Tz then ziuzwe na zivaliwe na wafuasi wa CDM ambao ni 64% kuonesha kuwa walimchagua.
Nawashauri CDM wachapishe t-shirt zenye picha ya Dr Slaa na nembo ya flag ya Tz then ziuzwe na zivaliwe na wafuasi wa CDM ambao ni 64% kuonesha kuwa walimchagua.
Hivi unafikiri Hali tuliyonayo yawed kurekebishika kwa kuvaa T-Shirt, even CCM has T-Shirts lots of the them. Tunahitaji watt wazungumzie kufanya kazi, kuacha uvivu na umahili wa kukosoa tu, show what you can do not T-Shirts!!
Makofi tafadhali, How can CDM management get this idea?
Iende kwenye jukwaa la biashara, siyo siasa hii ni business perse...
Hivi unafikiri Hali tuliyonayo yawed kurekebishika kwa kuvaa T-Shirt, even CCM has T-Shirts lots of the them. Tunahitaji watt wazungumzie kufanya kazi, kuacha uvivu na umahili wa kukosoa tu, show what you can do not T-Shirts!!
Nawashauri CDM wachapishe t-shirt zenye picha ya Dr Slaa na nembo ya flag ya Tz then ziuzwe na zivaliwe na wafuasi wa CDM ambao ni 64% kuonesha kuwa walimchagua.
Naunga mkono wazo, kwa mbele picha ya Slaa kwa nyuma 'Wao wana pesa sisi tuna Mungu' italipa sana anaobeza waachwe kama walivyo.