Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
- Thread starter
- #21
huyu dogo hana ajualo zaidi ya tetesi na kujifanya mkali!mbaya zaidi anajaribu kucopy swagga za watu kisa figganigga kala shavu kwa neno mia kwa kila mwisho wa sentensi nacho kinataka kuibuka eti kila mwisho wa sentence..yoo!mshamba hujulikana hata kwa maandishi!
Wewe cameron ucntafutie ban bure..kawauzie sura mambwigila mbwigila wenzio..Et unajiita muuza sura!!!. Khaaa!inaonesha kabsa kama we ni wa Ntwara..nahc ulkua unajiona bitoz..afu watu wakawa hawakuit muuza sura ndo ukaamua kujiita hvyo....nmeanza ku2mia yoo tangu bdo ukienda chooni unaita 'taaayaaariii' waje kukuchamba...yoo