Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Baada ya kushiriki katka sherehe ya bibie Laula Bush na kupata kukutana na wadau mbalimbali..
Wasaníi wa T.H.T wamepata bahati ya kushiriki kwenye mashindano makubwa kuliko yote dunian ya kusaka vipaji American Idol yanayoendeshwa na Simon Philemon Cowel...
Ambapo kwa sasa Meneja wao bwana Ruge Mutahaba yupo kwenye mazungumzo na Simon Philemon Cowel katka mchakato huo wa mashndano hayo ambayo yamewatoa wasanii wakubwa km J.Lopez,John Legend,Janet Jackson n.k..
Vilevile pia T.H.T wamepata fursa ya kwenda New York Marekan kila baada ya miez 6 wakiwa kama mabalozi wa Malaria wakiongozwa na balozi wao mkuu Farid kubanda a.k.a Fid Q...
Hii ni taarifa nzur kwa watanzania wapenda burudani kwan tutajckia furaha kama Linah akiwa katka levo kam za J.JACKSON au J.Lopez..au barnaba kuwa km John Legend...yoo
Wasaníi wa T.H.T wamepata bahati ya kushiriki kwenye mashindano makubwa kuliko yote dunian ya kusaka vipaji American Idol yanayoendeshwa na Simon Philemon Cowel...
Ambapo kwa sasa Meneja wao bwana Ruge Mutahaba yupo kwenye mazungumzo na Simon Philemon Cowel katka mchakato huo wa mashndano hayo ambayo yamewatoa wasanii wakubwa km J.Lopez,John Legend,Janet Jackson n.k..
Vilevile pia T.H.T wamepata fursa ya kwenda New York Marekan kila baada ya miez 6 wakiwa kama mabalozi wa Malaria wakiongozwa na balozi wao mkuu Farid kubanda a.k.a Fid Q...
Hii ni taarifa nzur kwa watanzania wapenda burudani kwan tutajckia furaha kama Linah akiwa katka levo kam za J.JACKSON au J.Lopez..au barnaba kuwa km John Legend...yoo