The lost son
Senior Member
- Dec 14, 2010
- 103
- 74
Waungwana Kuna mwenye news kuhusu hii nafasi kama wameishaitwa?
Washaitwa na dada mmoja hivi keshachukua anaanza July
Waungwana Kuna mwenye news kuhusu hii nafasi kama wameishaitwa?
.....mimi nilikuepo kwenye interview na uyo dada tuliyekua nae alikua shalo vibaya...
in kiswahili tafadhari..umeniacha hapo .......hasira za mkizi……by what measure are judging the winner to be shallow? You could be right only if her knowledge triviality was followed by a failure. But to the opposite she made it through, she is going to sign the contract, leaving you lamenting, condemning and shouting. Therefore, scientifically the shallows are those who failed. Are you among them?
you're the one...!!!Hasira za mkizi……by what measure are judging the winner to be shallow? You could be right only if her knowledge triviality was followed by a failure. But to the opposite she made it through, she is going to sign the contract, leaving you lamenting, condemning and shouting. Therefore, scientifically the shallows are those who failed. Are you among them?
siku nyingine bora waseme kabisa wanataka wadada tu ndo wa aply,mimi nilikuepo kwenye interview na uyo dada tuliekua nae alikua shalo vibaya sasa wangesema tu wanataka mwanamke tungewaelewa kuliko kupotezea watu mda
wewe nimstarabuMmmh mimi ndo nilitangaza hii post hapa (baada ya kuisikia TWB) na i can assure you TWB wamechagua mtu fairly sana na alikuwa competent. Wakati mwingine lazima mfike mahali mkubali kuwa kuna watu wana expirience kuwazidi na wako competent hata kwenye GPA na wanafanya hiyo kazi. Kama vijana tutakuwa na attitude kama hizi za kujaji wenzenu basi nakuhakikishia utatafuta kazi sana.
Sidhani kama TWB kuna upendeleo. Ila kama ndivyo tutaacha kuzitangaza hizi kazi JF maana inaonyesha hamna shukrani. Sisi tunataka vijana mpate kazi lakini kama attitude zenu ni hizi mmh. I feel offended. SERIOUSLY.
Pia lazima mtambue kuwa kazi ile ilitanganzwa JF pekee kwa hiyo aliyepata ni mtu wa JF na hivyo u should be proud.
Mmmh mimi ndo nilitangaza hii post hapa (baada ya kuisikia TWB) na i can assure you TWB wamechagua mtu fairly sana na alikuwa competent. Wakati mwingine lazima mfike mahali mkubali kuwa kuna watu wana expirience kuwazidi na wako competent hata kwenye GPA na wanafanya hiyo kazi. Kama vijana tutakuwa na attitude kama hizi za kujaji wenzenu basi nakuhakikishia utatafuta kazi sana.
Sidhani kama TWB kuna upendeleo. Ila kama ndivyo tutaacha kuzitangaza hizi kazi JF maana inaonyesha hamna shukrani. Sisi tunataka vijana mpate kazi lakini kama attitude zenu ni hizi mmh. I feel offended. SERIOUSLY.
Pia lazima mtambue kuwa kazi ile ilitanganzwa JF pekee kwa hiyo aliyepata ni mtu wa JF na hivyo u should be proud.
siku nyingine bora waseme kabisa wanataka wadada tu ndo wa aply,mimi nilikuepo kwenye interview na uyo dada tuliekua nae alikua shalo vibaya sasa wangesema tu wanataka mwanamke tungewaelewa kuliko kupotezea watu mda
Hiyo ndio bongo TWB huwezi pata job mpaka umjue mtu ndugu yangu na bado sio TWB tu bali sehemu nyingi hapa nchini.
Pole sana. Elewa ya kwamba huyo IT Manager wa pale naye bogaz sio mchezo kale kajamaa kanavaa miwani yenye lenzi ya hatari.
Tuone mwisho wake.
nina uhakika na unacho kinena geraldUnauakika kama alikua shalow?
Ok tukubali ni shalow kumbuka hiyo bank ni ya wanawake na kipaumbele lazma kiwe mwanamke so may be ni ndio kigezo lakini kila mtu na wewe mmojawao unayesema unajua mambo kuwa experience, confidence na nakadhalika vinapatikana kazini so mwachie hata pata uzoefu na akawa mzuri may be kukushinda wewe. Pia bank inausalama wake pia labda sisi tulioneka tunaweza kuiletea matatizo na ndio maana kwenye selection kuna vitu vingi wanaangali specialy kwenye sector zote za kibank sio kuchukua mtu tu from no where nafikiri utakua umenielewa.nina uhakika na unacho kinena gerald