Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
mimi binafsi naogopa sana TZ tunapoelekea kuhusu udini..cha muhim tusiingizwe kwenye siasa za western countries na udini..leo mmarekani anampinga afghanstan na talleban ambae anamuita terrorist lakini ndo huyo alimuezesha kinguvu za kijeshi wakati wa kuibomoa soviet union....
iran na USA hawapatani lakini iran huyohuyo anafanya biashara na Russia...
USA ame force nchi za Africa kuingiza terrorst Legislation katika nchi zao, ambazo kweli zinalinda maslahi yao
hebu niambieni maana ya Terrorist ni ipi?
je terrorist ni yule ambae ni anti USA?
Semenya nadhani bado kuna jambo haliko sawa hapa mzee .