Au kama vipi naomba hata majina ya topics za A level kwa masomo hayo.
Labda sasa kuna mabadiliko lakini sisi kwenye Chemistry tulikuwa na physical chemistry,general chemistry na organic chemistry na practicals.Humo ndani kuna vi subtopic ambavyo siwezi kuvikumbuka vyote.
Biology tulikuwa na classification(ile mikate,nadhani ilikuwa inakatwa form 5),physiology,zile genetics,evolution na diseases kama HIV/AIDS,malaria,typhoid,cholera etc pamoja na practicals za kupasua mende,panya,vyura nk
Sijui wadau wa agriculture walikuwa na nini..
Au kama vipi naomba hata majina ya topics za A level kwa masomo hayo.
kwa nini vitu kama hivi visiwekwe kwenye website ya wizara, ili kila mmoja mwenye kuhitaji aweze kuzipata huko, kuna uwezekano mkubwa syllabus inayotumiwa na shule nyingi sio ya sasa, then wanafunzi wakifeli lawama zinaanza, haya mambo yote ni muhimu kwa mwanafunzi kufanya vzr mitihani yake.
Nenda duka la vitabu lililo kariu nawe na ununue syllabus za hayo masomo.Kujua topics pekee hakutakusaibia kwakuwa hutajua how deep unatakiwa kujisomea topic husika.Ulizia syllabus za mwaka 2010 ndizo zinatumika sasa.
Chemistry practicals
Energetics
Chemical kinetics
Partition
Titration
Qualitative analysis
Bwa mdogo kila part apo juu ina visubpart vyake hahaha i love Chemistry..
Agriculture sasa hii asee ndo habari ya mujin maana ina topic bweleleee lakin zimegawanyika katika makund manne
Crop science
Livestock science
Agromechanics
Rural economics
haa nataka nisahau tena kuna na
Soil science
tuanze branch moja moja sasa..
Crop science
1.Entomology
2.Weed science
3.Plant breeding
4.Plant diseases
kuna nyingnezo lakn zimentoka
asee na2mia cmu na dolegumba langu limechoka nikipata muda ntamalizia izo nyingine maana nazo zina vibranch kama sitasita iv..dah agrculture ni kwere lakin ts an interestn n easy subject if u love it..