snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,638
Heheehehe mimi penda wewe sana!....lol
mimi penda wewe pia bana!
Heheehehe mimi penda wewe sana!....lol
mimi penda wewe pia bana!
Heheheh mke mwenza chezeiya mimi wewe......kuhusu hiyo ofa ngoja tumsubiri shemeji Bishanga aje atuchagulie manake yeye ndio kaizunguka sana hii dunia.....tunashukuru kwa ofa mke mwe.....wenye wivu wajinyonge!
Wengine weraaaaaa weraaaaaaaaaaaaaa lol........kwa raha zangu mtoto wa kike mie!..... Vin Diesel yeye alie tu sasa!
true true true true inshallah nitts na SL tunawaombea penzi lao lisitumbukie nyongo tena.wala si utani,we jenga nyumba mie natengeneza hiyo nyumba pawe nyumbani!uongo?
kusema ukweli msingerudiana ingeniuma sana,huyo shakumpempe mdandia wake za watu vin diesel dawa yake inachemka jikoni.
upo?? nimekumith! lol!true true true true inshallah nitts na SL tunawaombea penzi lao lisitumbukie nyongo tena.
jamani mama kadogoo upo???Thante dia!
wala msikonde,ngoja niwafanyie booking ya five nights full board mkale fungate jipya uswiss kwenye mji unaitwa st gallen,ni pazuri sana na kipindi hiki baridi haijawa kali.mkifika zurich chukueni treni na mkifika main station st gallen (wenyewe wanaita gare) chukueni taxi hadi hotel ibis,gharama zote juu yangu,ngoja nikawakatie na tiketi business clas swiss air (inaondoka dar usiku asubuhi umefika).
ps: si vibaya mkipeanana mimba ya pili.
kusema ukweli msingerudiana ingeniuma sana,huyo shakumpempe mdandia wake za watu vin diesel dawa yake inachemka jikoni.
My wife ameshajua janja yao huwa wanasubiri mimi nimesafiri ndio wanajifanya kujipenyeza. Huyo Platzoom hana lolote ataishia kupiga chabo tu