BADILI TABIA , mie wala siliwezi lol....amepita nyumbani jioni hii hajanambia yote haya anakuja kuyasemea huku khaaa....huyu nishamgundua ananitafutia ubaya afu akareport kwa kakake!....Najiweka pembeni mwaya.unaona mawifi wasivyo na wema? Ghubu la wifio hangaika nalo
Niliacha wakati hupo...nashtua kidogo tu
eti BT, kunani tena?mbona wifi kanivimbishia mdomo?kila napopita taarabu?
Niliacha wakati hupo...nashtua kidogo tu
hahaha ina nini tena?
Nyie watoto huwa mnalalaga saa ngapi?
Teh ila nataka niache jumla...sieti eeehHii kali tehe.....umekuwa mkweli mpaka raha.
lakini sisi tulikuwa tunaelewana,kuna kidudu mtu hapa kimeingilia kati na ole wake nikijue
huezi acha wewe,majungu hulka yako.
BADILI TABIA , mie wala siliwezi lol....amepita nyumbani jioni hii hajanambia yote haya anakuja kuyasemea huku khaaa....huyu nishamgundua ananitafutia ubaya afu akareport kwa kakake!....Najiweka pembeni mwaya.
Tobaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!.....nikianguka presha ujue unahusika.
Nyie watoto huwa mnalalaga saa ngapi?
Imefanana na ya mzee mmoja mwenyekiti wa kule kijijini kwetu lol....
Wee unalala saa ngapi?
Hata hvyo majungu yana raha yake....lol
Teh ila nataka niache jumla...sieti eeeh